Watanzania kama tuliweza kula majani kipindi cha waziri Bazil Mramba tukanunua jet ya Mbayuwayu
ambayo inaruka toka Dar na kutua Kampala wakati destination ni KIA, inakwenda xafari ambazo zinaleta bill
kubwa kwenye matumizi ya hizi mbayuwayus, natumaini yatupasa sasa hivi tule majani
ili tuchimbe bwawa la kisasa la kuzalisha umeme ili tusiendelee kudanganywa na MEGA------WHAT?
Wakati umefika na bwawa tulisimamie wenyewe nashauri kodi ya kichwa iletwe kufanikisha zoezi
hili kwasababu kodi tunayochajiwa sasa ivi kutoka kwenye manunuzi ya sembe, soda, sukari,.......hatuzioni kuchangia maendeleo
naomba kuwasilisha.,
ambayo inaruka toka Dar na kutua Kampala wakati destination ni KIA, inakwenda xafari ambazo zinaleta bill
kubwa kwenye matumizi ya hizi mbayuwayus, natumaini yatupasa sasa hivi tule majani
ili tuchimbe bwawa la kisasa la kuzalisha umeme ili tusiendelee kudanganywa na MEGA------WHAT?
Wakati umefika na bwawa tulisimamie wenyewe nashauri kodi ya kichwa iletwe kufanikisha zoezi
hili kwasababu kodi tunayochajiwa sasa ivi kutoka kwenye manunuzi ya sembe, soda, sukari,.......hatuzioni kuchangia maendeleo
naomba kuwasilisha.,