Malyamungu
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 363
- 12
Huko ndiko kuja kuombana TIGO na ndo utakuwa mwisho wa mapenzi yenu.Me sikubaliani na wewe hapo juu. Unajua kuna msemo usemao, unaweza kupika maini ya ng'ombe mzee, yakawa matamu kama ya ng'ombe kijana. Tatizo sio maini yamezeeka, ni mapishi yako.
Wako watu wanaowachoka wenza wao ndani ya mwezi tu, wengine mwaka, wengine miaka 10+, etc, ni mapishi yako tu.
Kadiri mnavyozeeka, ndivyo unavyobadili mapishi yako kulingana na wakati.