Kula 'chakula cha kikubwa' mara kwa mara kunaweza kuleta madhara katika uzazi?

Hakuna madhara yeyote rafkyangu, kula mzigo tu. Fanya na vi-stretching kidogo misuli iachie. Ikiwezekana mfundishane massage muwe mnafanyiana. Kula raha kaka, ndio ndoa yenyewe. Achana na wanaotoka off point

Au chakula kikubwa ulikua na maana nyingine. Mtu wa bara mimi kiswahili sijui vema
 
Aziniye na mwanamke hana akili kabisa, anafanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake

tunaozini ni kama mimi tusiokuwa na ndoa, lakini pape kaoa,ameruhusiwa kabisa na wazazi,mungu wake na jamii nzima kumega kwa jinsi anavyotaka yeyd
 
Kwanza nakupongeza umeoa ,nashangaa wanao toa comment za ww kuzini.
Pili kama unapiga mzigo namna hiyo wewe piga tu simamamia kwa vidole gumba vya miguu kama vp,asikudanganye mtu huu ndio muda wako na kwa memories hivi mtakumbushana milele,haina madhara wala nn mimi nilikuwa napiga mzigo kama wako na wife tena nilikuwa 23yrs mpaka 27yrs naona speed inapungua kutokana na majukumu kutokuwa na muda wa kutosha na pia mawazo ya kuendeleza familia-watoto.
So kama kichwa chako hakina mambo mengi muda huu ndio wakati wa kuendeleza hilo libeneke ,majungu yakikuzidi mbeleni na kama hayo ya watoto n.k you might be sorry.
Wanao kwambia usome sijuhi wamejuaje mipango yako_Ok kama unasoma bado sidhani kama haribu masomo yako zaidi ya kukufanya kichwa kiwe fresh zaidi.Naseme hivi kutoka mfano wangu mimi wakati nikipiga machine kibingwa mwanzo mwisho pia nilikuwa chuo na matokeo GPA 3.6 not bad.

Piga mzigo kibingwa ukija kupunguza kasi mbeleni wote mtaema "there was a time where we fiested like no tomorrow "and those memmories 'll make you live.
 
Achana na mambo ya kula chakula cha wakubwa wakati bado huna mpango wa kuoa, jipange kwanza kimaisha mkuu haya mambo yapo tu!
Mojawapo ya madhara ni huo uchovu!

Amesema ameoa. sasa ulioa ili ufanye nini?
 
ingekuwa ni mtihani darasani leo!!! mbona mwalimu angeshika kichwa!?
 
Hakuna madhara yoyote kiafya badala yake ina manufaa makubwa sana. Chemistry ya tendo la ndoa inausaidia sana mwili kupumzika. Kama chakula kinatosha (protini) na kwa vile umri unaruhusu, endeleeni hadi mtakapoona dudu zinawaka moto.

Pia nimefurahi sana kwamba mnaanza Ijumaa jioni kwa hiyo haina madhara katika kazi zenu. Nimependa sana mpangilio wenu. Just keep it up as longer as the vigour is sustained! Hapo mkuu unaweza kujipa uhakika wa ndoa yenye mavuvuzela kidogo kwa hiyo miaka 6. Wife ataanzia wapi kulipuza wakati yuko hoi?
 
me pia nimeshangazwa na hawa great thinkers! Mwenzenu amesema ameoa, watu wanasema anazini. Nani kasema miaka 24 ni mtoto mdogo? Anaweza kuwa mdogo sana kiumri kwako, lakini ni mtu mzima mwenye akili zake!

Kama mtu ameuliza swali, jibu, sio kuwa off point. Me mbona mama yangu aliolewa na miaka 20? Ni mpango wa maisha tu. Wale wanaosema asihangaike na mapenzi, akazane na elimu, kwani yeye amesema hasomi? Tuache kupayuka.

Watu tunadhani kuwa ukubwa wa umri ndio umezo wa kufikiria. Kama ingelikua ni kweli, basi msamiati wa kubwa jinga usingekuwepo.

Kwa upande wangu, pape ameonyesha uwezo mzuri tu wa kufikiri, kuliko wengi tu waliotupa madongo bila kuelewa wanajibu nini.

Bottom line:
Hakuna madhara ya kiafya, ladba kama yatasababishwa na matatizo mengine nje ya hapo. Kama ni mkeo mridhishe, achana nao hao wanaopayuka. Na kama unaona hauko katika nafasi ya kuwa na mtoto sasa hivi, ni vyema usubiri.

I like it, umeonyesha una plan ya maisha.


afu jama tubadilike, eti bado mdogo sana akazane na elimu, elimu ipi dunia au elimu darasa..siku hizi watu wana miaka 24 na washamaliza masters, sasa elimu ipi akazanie maake kwa uelewa wangu nadhani kwa elimu hiyo mtu anaweza kusurvive vizuri tuu..na jamaa hajasema kuhusu elimu yake, so kumwambia akazanie elimu wakati hujui elimu yake ni kupotoka, unaweza kuta ana elimu kubwa kuliko hata wewe mwenye miaka 35 sijui 50 (whatever)..pili kuzini (ingawa yeye hazini sababu ameoa) maana yake ni kufanya mapenzi nje ya ndo au na mtu ambaye bado hamjaoana wa jinsia mbili tofauti..sasa mwanaume kwa mwanaume/mwanamke kwa mwanamke sio kuzini..either ni kulawiti, kusagana au neno lingine lolote linaweza kuwa linatumika...lakini hakuna kuzini kwa jinsia moja ..ni hayo tuu..
 
Kwanza nakupongeza umeoa ,nashangaa wanao toa comment za ww kuzini.
Pili kama unapiga mzigo namna hiyo wewe piga tu simamamia kwa vidole gumba vya miguu kama vp,asikudanganye mtu huu ndio muda wako na kwa memories hivi mtakumbushana milele,haina madhara wala nn mimi nilikuwa napiga mzigo kama wako na wife tena nilikuwa 23yrs mpaka 27yrs naona speed inapungua kutokana na majukumu kutokuwa na muda wa kutosha na pia mawazo ya kuendeleza familia-watoto.
So kama kichwa chako hakina mambo mengi muda huu ndio wakati wa kuendeleza hilo libeneke ,majungu yakikuzidi mbeleni na kama hayo ya watoto n.k you might be sorry.
Wanao kwambia usome sijuhi wamejuaje mipango yako_Ok kama unasoma bado sidhani kama haribu masomo yako zaidi ya kukufanya kichwa kiwe fresh zaidi.Naseme hivi kutoka mfano wangu mimi wakati nikipiga machine kibingwa mwanzo mwisho pia nilikuwa chuo na matokeo GPA 3.6 not bad.

Piga mzigo kibingwa ukija kupunguza kasi mbeleni wote mtaema "there was a time where we fiested like no tomorrow "and those memmories 'll make you live.
Hiyo kauli yako hapo kwenye red hai-prove chochote labda ungepiga mGPA wa 5.0 ningekuelewa.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nimeoa! Ninampango wa kuzaa baada ya miaka 6 kama mambo yakienda vizuri.
Mambo yako yakienda vizuri uje wewe na mkeo na kuku wawili wa blue na mayai mawili meusi na ze muuuuuuuuuuula!........................lol!
 
Hakuna madhara yoyote kiafya badala yake ina manufaa makubwa sana. Chemistry ya tendo la ndoa inausaidia sana mwili kupumzika. Kama chakula kinatosha (protini) na kwa vile umri unaruhusu, endeleeni hadi mtakapoona dudu zinawaka moto.

Pia nimefurahi sana kwamba mnaanza Ijumaa jioni kwa hiyo haina madhara katika kazi zenu. Nimependa sana mpangilio wenu. Just keep it up as longer as the vigour is sustained! Hapo mkuu unaweza kujipa uhakika wa ndoa yenye mavuvuzela kidogo kwa hiyo miaka 6. Wife ataanzia wapi kulipuza wakati yuko hoi?

Ha ha ha ah ha u make my day bro.
 
Hakuna kulala. Sex kila siku kuanzia ijumaa. hamchoki? nadhani mtakuja chokana mapema sana.
 
Bwana ehee!!Kula mzigo ndugu yangu asikubabaishe mtu kwani umemuoa akuhubirie injili?Ukiwa na meno tafuna hadi mifupa ukifikia kibogoyo mumunya minofu.Nahisi umenipata hapo.
 
Hakuna madhara yeyote rafkyangu, kula mzigo tu. Fanya na vi-stretching kidogo misuli iachie. Ikiwezekana mfundishane massage muwe mnafanyiana. Kula raha kaka, ndio ndoa yenyewe. Achana na wanaotoka off point

Au chakula kikubwa ulikua na maana nyingine. Mtu wa bara mimi kiswahili sijui vema

tunaozini ni kama mimi tusiokuwa na ndoa, lakini pape kaoa,ameruhusiwa kabisa na wazazi,mungu wake na jamii nzima kumega kwa jinsi anavyotaka yeyd

Kwanza nakupongeza umeoa ,nashangaa wanao toa comment za ww kuzini.
Pili kama unapiga mzigo namna hiyo wewe piga tu simamamia kwa vidole gumba vya miguu kama vp,asikudanganye mtu huu ndio muda wako na kwa memories hivi mtakumbushana milele,haina madhara wala nn mimi nilikuwa napiga mzigo kama wako na wife tena nilikuwa 23yrs mpaka 27yrs naona speed inapungua kutokana na majukumu kutokuwa na muda wa kutosha na pia mawazo ya kuendeleza familia-watoto.
So kama kichwa chako hakina mambo mengi muda huu ndio wakati wa kuendeleza hilo libeneke ,majungu yakikuzidi mbeleni na kama hayo ya watoto n.k you might be sorry.
Wanao kwambia usome sijuhi wamejuaje mipango yako_Ok kama unasoma bado sidhani kama haribu masomo yako zaidi ya kukufanya kichwa kiwe fresh zaidi.Naseme hivi kutoka mfano wangu mimi wakati nikipiga machine kibingwa mwanzo mwisho pia nilikuwa chuo na matokeo GPA 3.6 not bad.

Piga mzigo kibingwa ukija kupunguza kasi mbeleni wote mtaema "there was a time where we fiested like no tomorrow "and those memmories 'll make you live.

Hakuna madhara yoyote kiafya badala yake ina manufaa makubwa sana. Chemistry ya tendo la ndoa inausaidia sana mwili kupumzika. Kama chakula kinatosha (protini) na kwa vile umri unaruhusu, endeleeni hadi mtakapoona dudu zinawaka moto.

Pia nimefurahi sana kwamba mnaanza Ijumaa jioni kwa hiyo haina madhara katika kazi zenu. Nimependa sana mpangilio wenu. Just keep it up as longer as the vigour is sustained! Hapo mkuu unaweza kujipa uhakika wa ndoa yenye mavuvuzela kidogo kwa hiyo miaka 6. Wife ataanzia wapi kulipuza wakati yuko hoi?
Wakuu nimewapata vilivyo!:yield:
 
Hakuna kulala. Sex kila siku kuanzia ijumaa. hamchoki? nadhani mtakuja chokana mapema sana.

Me sikubaliani na wewe hapo juu. Unajua kuna msemo usemao, unaweza kupika maini ya ng'ombe mzee, yakawa matamu kama ya ng'ombe kijana. Tatizo sio maini yamezeeka, ni mapishi yako.

Wako watu wanaowachoka wenza wao ndani ya mwezi tu, wengine mwaka, wengine miaka 10+, etc, ni mapishi yako tu.

Kadiri mnavyozeeka, ndivyo unavyobadili mapishi yako kulingana na wakati.
 
Hiyo kauli yako hapo kwenye red hai-prove chochote labda ungepiga mGPA wa 5.0 ningekuelewa.

so 3.6 is failure?
nilichotaka kusema pale ni kuwa sikufeli ,why you cant flow with the passage idea ,how hard to understand simple shit like that.
 
Kuzini ni nini?:smile:


Isome kitabu cha kanuni za kanisa na amri kumi za mungu; amri ya sita inasema usizini. Au ungewauliza your own parents kwani kaitika mafundisho ya watoto huwa wazazi wanaruhusiwa na kanisa au masjid kufundisha vijana wao
 
Back
Top Bottom