Kula 'chakula cha kikubwa' mara kwa mara kunaweza kuleta madhara katika uzazi?

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nimeoa! Ninampango wa kuzaa baada ya miaka 6 kama mambo yakienda vizuri. Mke wangu ana umri wa miaka 21 na tumekuwa tukila 'chakula cha wakubwa' mara kwa mara. Tunaweza tukala kuanzia ijumaa jioni mpaka jumapili. Ikifika jumapili wote tupo 'hoi'. Napenda kufahamu kama kuna madhara yoyote ambayo yanaweza kutokea hapo baadae (baada ya miaka 6 mimi nitakuwa na miaka 30 na yeye atakuwa na miaka 27) kama vile kukosa kupata watoto! Nategemea msaada wenu! Shemeji yenu/wifi yenu ananitengua kiuno!! Hachoki!
:whoo:
 
ur real MTOTO.
its gud 4u to make gud option at ya age
kazana kusoma na jipange kimaisha
pole
 
Achana na mambo ya kula chakula cha wakubwa wakati bado huna mpango wa kuoa, jipange kwanza kimaisha mkuu haya mambo yapo tu!
Mojawapo ya madhara ni huo uchovu!
 
Aziniye na mwanamke hana akili kabisa, anafanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake
 
Aziniye na mwanamke hana akili kabisa, anafanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake

mmmh, hii statement haijakaa vizuri kabisa. Hapo shida ni kuzini na mwanamke au kuzini kwa ujumla? Unataka kusema atakayezini na shoga au na mnyama huyo ana akili na hataangamia?
 
Aziniye na mwanamke hana akili kabisa, anafanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake
Ila aziniye na mwanaume mwenziye huyo ana akili timamu na hafanyi jambo litakaloangamiza nafsi yake. Wote semeni Haleluya!
 
utoto tu akikua hataacha hawa ndio wale wanaopiga game mpaka wanaishiwa maji mwilini
 
Hivi ni gr6 thinkers au sinkers maana jamaa kasema ameoa, watu mmekomaa ooh aziniye sijui na nani.......aaaargh muwe mnasoma vizuri kwanza bana.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nimeoa! ...

Achana na mambo ya kula chakula cha wakubwa wakati bado huna mpango wa kuoa, jipange kwanza kimaisha mkuu haya mambo yapo tu!

Umewajulisha wazazi wako kuwa huwa unakula chakula cha kikubwa?

Aziniye na mwanamke hana akili kabisa, anafanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake

Nakumbuka kule jamaa aliuliza tuzini na nani sasa au tuzini na midog hahahaa

:confused2:....:pray:....
 
Hivi ni gr6 thinkers au sinkers maana jamaa kasema ameoa, watu mmekomaa ooh aziniye sijui na nani.......aaaargh muwe mnasoma vizuri kwanza bana.

Me pia nimeshangazwa na hawa great thinkers! Mwenzenu amesema ameoa, watu wanasema anazini. Nani kasema miaka 24 ni mtoto mdogo? Anaweza kuwa mdogo sana kiumri kwako, lakini ni mtu mzima mwenye akili zake!

Kama mtu ameuliza swali, jibu, sio kuwa off point. Me mbona mama yangu aliolewa na miaka 20? Ni mpango wa maisha tu. Wale wanaosema asihangaike na mapenzi, akazane na elimu, kwani yeye amesema hasomi? Tuache kupayuka.

Watu tunadhani kuwa ukubwa wa umri ndio umezo wa kufikiria. Kama ingelikua ni kweli, basi msamiati wa KUBWA JINGA usingekuwepo.

Kwa upande wangu, Pape ameonyesha uwezo mzuri tu wa kufikiri, kuliko wengi tu waliotupa madongo bila kuelewa wanajibu nini.

Bottom line:
Hakuna madhara ya kiafya, ladba kama yatasababishwa na matatizo mengine nje ya hapo. Kama ni mkeo mridhishe, achana nao hao wanaopayuka. Na kama unaona hauko katika nafasi ya kuwa na mtoto sasa hivi, ni vyema usubiri.

I like it, umeonyesha una plan ya maisha.
 
Back
Top Bottom