Sura-ya-Kwanza
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 566
- 10
- Thread starter
- #21
Na mwandishi wa kugandia(embedded journalist)
Katika mkao wa haraka ya wanakamati JF Ville kwa kile kilichoonekana kama kuvamiwa na majasusi na kuunga mkono jitihada za Wanakamati wasionekana za kukomesha jitihada hizo, zinazoonekana; kama za ajenda ya kuua nguvu za Kumkoma Nyani Giladi.
Kutoka ukumbini mwandishi wetu katuletea...
Bila ya haraka na kwa mwendo wa upole mwanahudhuria mmoja wa majukwaa ya JF Ville abanika uwani
"JF Resolution No 001/2008"
"…HEREBY RESOLVES that, whoever attempts, threatens by words or deeds, does or utters anything that results in:
a) partial of full stoppage of the work of JF, even for a minute,
b) Partial or full deletion of any of the contents of JF,
c) Financial, physical or psychological harm to the moderators, administrators, members, benefactors, sponsors, beneficiaries of any of the above…" Ilisema moja ya sehemu, kwa miendo ya upole.
Iliendelea...
"DETERMINED not to allow any such attempt or action take place"
"POINTS OUT that, no excuse, be it stupidity, ignorance, illiteracy, laana, frustration arising from family or work, psychological problems, financial loss, or even life-saving attempt, will be accepted in exchange for the smooth running of the affairs of JF…"
Mwandishi alishindwa kumeza haya yote kwani sasa ukiritimba unanyemelea. Kwa mwendo wa pole mwanahudhuria huyo wa Jukwaa aliafiki maoni ya mwandishi huyu, huku akipea kidole kuashiria uenda pole huo wa rezolusheni "TUTACHELEWA LAKINI TUTAFIKA, NO DOUBT ABOUT IT!" kwa kile mwandishi huyu kuona kukosekana azma za nyuma yaani ‘Kumkoma Nyani Giladi'
Wanavijiji wa JF Ville: Muimba miziki ya kubweka,Totori,Mkuu wa Majeshi, Katibu wa tarafa ya kitongoji kimoja JF Ville, Mcheza sinema za kishreki shreki, Stivu mwenye De,waRwabugiri(haijajulikana kama huyu anatokea katika moja ya makabila ya JF Ville kijijini), Walahoi wa JF Ville na wasionekana kuonekana, wote kwa ‘mkupuo pale….wakamwaga shukurani zao kwa rezolusheni hiyo ndefu yenye miendo ya pole.
Waliendelea kuchangia...
Wasionekana: "That will be the JF Resolution No 002/2008 ?" Aliuliza kirezolusheni.
Stivu mwenye De: "I'AM IN SUPPORT OF THE ABOVE BY 99%!" Alikubaliana
Kaka wa makaka: "…hatuwezi kupost kwenye forum ya wapenda mipira"
Wakati mwandishi huyu akijaribu kuweka vidole sawa kwenye taipureta ya tarakilishi, kipaza sauti cha Mkuu huyo kilisikika akiafikiana na uendaji kipole wa rezolusheni na saluti kali iliyojaa rezolusheni.
Mkuu wa Majeshi uwanja wa kivita JF Ville: "Mkuu Mwendapole, Salute!"
Wanavijiji walikuwepo huko, mwakilishi wao huko mwanakijiji wa JF Ville akionyesha kwa mfano wa vichwa na mifupa mashaka kidogo, kwani aliona hiyo- kama ulishwaji wa yamini wa kijijini humo si sawa na wa- wachonga-mbao-za-bure "This look like the pledge of "Skulls and Bones".. kama wao wanalishana yamini kwenye Freemasonry.. na sisi tunaingia na hii society!! ila tusianze kuombana damu tu!"
Alisema kwa mfano mfano wa kichwa na mifupa, bila damu.
Kwa Habari zaidi bofya hapa...https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=9073
Mwandishi wetu wa kugandia amepelekwa kwenye Jukwa lingine kwani mlio wa mbiu kwa kutumia kipaza sauti(PA-System)wa Mkuu wa Majeshi uwanja wa kivita huko JF Ville kuona kulikoni na safari za Mkuu wa nchi ya ngambo kama inavyodaiwa na Waziri asiyekuwa wa ndani wa nchi hiyo!
Katika mkao wa haraka ya wanakamati JF Ville kwa kile kilichoonekana kama kuvamiwa na majasusi na kuunga mkono jitihada za Wanakamati wasionekana za kukomesha jitihada hizo, zinazoonekana; kama za ajenda ya kuua nguvu za Kumkoma Nyani Giladi.
Kutoka ukumbini mwandishi wetu katuletea...
Bila ya haraka na kwa mwendo wa upole mwanahudhuria mmoja wa majukwaa ya JF Ville abanika uwani
"JF Resolution No 001/2008"
"…HEREBY RESOLVES that, whoever attempts, threatens by words or deeds, does or utters anything that results in:
a) partial of full stoppage of the work of JF, even for a minute,
b) Partial or full deletion of any of the contents of JF,
c) Financial, physical or psychological harm to the moderators, administrators, members, benefactors, sponsors, beneficiaries of any of the above…" Ilisema moja ya sehemu, kwa miendo ya upole.
Iliendelea...
"DETERMINED not to allow any such attempt or action take place"
"POINTS OUT that, no excuse, be it stupidity, ignorance, illiteracy, laana, frustration arising from family or work, psychological problems, financial loss, or even life-saving attempt, will be accepted in exchange for the smooth running of the affairs of JF…"
Mwandishi alishindwa kumeza haya yote kwani sasa ukiritimba unanyemelea. Kwa mwendo wa pole mwanahudhuria huyo wa Jukwaa aliafiki maoni ya mwandishi huyu, huku akipea kidole kuashiria uenda pole huo wa rezolusheni "TUTACHELEWA LAKINI TUTAFIKA, NO DOUBT ABOUT IT!" kwa kile mwandishi huyu kuona kukosekana azma za nyuma yaani ‘Kumkoma Nyani Giladi'
Wanavijiji wa JF Ville: Muimba miziki ya kubweka,Totori,Mkuu wa Majeshi, Katibu wa tarafa ya kitongoji kimoja JF Ville, Mcheza sinema za kishreki shreki, Stivu mwenye De,waRwabugiri(haijajulikana kama huyu anatokea katika moja ya makabila ya JF Ville kijijini), Walahoi wa JF Ville na wasionekana kuonekana, wote kwa ‘mkupuo pale….wakamwaga shukurani zao kwa rezolusheni hiyo ndefu yenye miendo ya pole.
Waliendelea kuchangia...
Wasionekana: "That will be the JF Resolution No 002/2008 ?" Aliuliza kirezolusheni.
Stivu mwenye De: "I'AM IN SUPPORT OF THE ABOVE BY 99%!" Alikubaliana
Kaka wa makaka: "…hatuwezi kupost kwenye forum ya wapenda mipira"
Wakati mwandishi huyu akijaribu kuweka vidole sawa kwenye taipureta ya tarakilishi, kipaza sauti cha Mkuu huyo kilisikika akiafikiana na uendaji kipole wa rezolusheni na saluti kali iliyojaa rezolusheni.
Mkuu wa Majeshi uwanja wa kivita JF Ville: "Mkuu Mwendapole, Salute!"
Wanavijiji walikuwepo huko, mwakilishi wao huko mwanakijiji wa JF Ville akionyesha kwa mfano wa vichwa na mifupa mashaka kidogo, kwani aliona hiyo- kama ulishwaji wa yamini wa kijijini humo si sawa na wa- wachonga-mbao-za-bure "This look like the pledge of "Skulls and Bones".. kama wao wanalishana yamini kwenye Freemasonry.. na sisi tunaingia na hii society!! ila tusianze kuombana damu tu!"
Alisema kwa mfano mfano wa kichwa na mifupa, bila damu.
Kwa Habari zaidi bofya hapa...https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=9073
Mwandishi wetu wa kugandia amepelekwa kwenye Jukwa lingine kwani mlio wa mbiu kwa kutumia kipaza sauti(PA-System)wa Mkuu wa Majeshi uwanja wa kivita huko JF Ville kuona kulikoni na safari za Mkuu wa nchi ya ngambo kama inavyodaiwa na Waziri asiyekuwa wa ndani wa nchi hiyo!
Last edited: