BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
MAHITAJI
kuku 1 mkate vipande upendavyo
swaumu(thomu)
tangawizi
vinegar
pilipili ( napendelea black papper grounded)
vijiko viwili vya curry powder (simba mbili is the best)
MAANDALIZI
- osha kuku wako kwa kutumia vinegar (hii hukata shombo ya `kuku kwa sie tusiopenda harufu), mwaga maji uliyooshea
- mkate upendavyo, mtie tena vinegar kadri uonavyo inafaa
- mweke vitunguu swaumu vilivyopondwa na tangawizi
-tia pilipili yako na curry powder
-mweke chumvi
acha kwa muda wa saa moja
washa oven ipate moto
-paka baking tin yako mafuta
-weka kuku wapo nyunyuzia mafuta kiduuuuuuuuuchu
-weka kuku wako, pika mpaka aiveeeeeee
ipua unaweza kula na vizazi, viepe, ugali chapati ......usisahau salad/kachumbari na juicy pembeni
kulaaaaaaa mpaka kitambi kitokeeeee
kuku 1 mkate vipande upendavyo
swaumu(thomu)
tangawizi
vinegar
pilipili ( napendelea black papper grounded)
vijiko viwili vya curry powder (simba mbili is the best)
MAANDALIZI
- osha kuku wako kwa kutumia vinegar (hii hukata shombo ya `kuku kwa sie tusiopenda harufu), mwaga maji uliyooshea
- mkate upendavyo, mtie tena vinegar kadri uonavyo inafaa
- mweke vitunguu swaumu vilivyopondwa na tangawizi
-tia pilipili yako na curry powder
-mweke chumvi
acha kwa muda wa saa moja
washa oven ipate moto
-paka baking tin yako mafuta
-weka kuku wapo nyunyuzia mafuta kiduuuuuuuuuchu
-weka kuku wako, pika mpaka aiveeeeeee
ipua unaweza kula na vizazi, viepe, ugali chapati ......usisahau salad/kachumbari na juicy pembeni
kulaaaaaaa mpaka kitambi kitokeeeee