ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Kuku wa Man City.
Kichapo cha Bao 6 kwa 1 walichopata Man United, kimewafanya mashabiki wa Man U Duniani wahahe kutafuta kila kisingizio cha kichapo hicho. Kuku huyu mashabiki wamedai alikuwepo kwenye Benchi la washabiki wa Man City maeneo ya Manzese kwa mfuga mbwa. alileta tafrani ya aina yake maeneo hayo, mpaka wana usalama walipofika na kuituliza tafrani hiyo.
KAPINGAZ