Kukosa ustaarabu!

Sijui ni kizazi gani tutakachokuwa nacho baadaye..maana watoto wadogo siku hizi ustaarabu hakuna!!
 
mimi binafsi najiuliza huyo aliyepiga picha alikuwa wapi asiwakataze? au alikuwa anaona raha kuchungulia mavi ya wenzao?
 
Baada ya kumaliza shughuli inaonekana watavaa hivyo hivyo bila ya kujisafisha.Chezea usela mavi wewe

Huwa wanajisafisha kwanza ili kuokoa muda, wakimaliza ya leo wataondowa kesho! Hapa ustaarabu zero!
 
Hawa wamekosa malezi sahihi tu, wala tusisingizie jua kama mbaazi. Hawa ni kamata tandika chapa viboko wasirudie shenzi!! wanaeneza maradhi kiujinga!! hawawezi kwenda kwao kujisaidia au kuomba msaada jirani washushe mizigo yao????
Pambafuu sikubaliani na hii tabia asilani!!!
 
mimi binafsi najiuliza huyo aliyepiga picha alikuwa wapi asiwakataze? au alikuwa anaona raha kuchungulia mavi ya wenzao?
They have no sense of self respect, unadhani wangemjibuje? Labda wampige kabisa. Sometimes all you can do is to raise awareness and let more capable people take actions. Alikua anatafuta ushahidi tu (si unaona picha imepigwa kwa mbali).
 
Hii picha nadhani imepigwa nchi ya jirani. Siamini kama hapo ni TZ! Kweli hali ya maisha imezidi kuwa mbaya, lakini sio kwa kiwango hicho.
 
Kwenye mtaro huo, mvua ikinyesha,kwa mbele watu wanakinga maji, watoto wanapita peku kuokota vyuma chakavu,hata kiangazi,watu wazima wanaokota makopo ya maji!mengine wanauzia juice! La ! La! La!
 
Dah, kazi ipo, sasa hawa wakipewa hela ya bange wasiichague ccm ili iweje! Ni msiba mkubwa huu
 
sasa mjini vyo vya kulipia kama huna miambili ufanyeje na umeshikwa na haja? vyoo vya umma vya bure mijini ni muhimu sana kuliko kulaumu watu wanaolazimishwa na mazingira kuonekena wendawazimu.
 
natamani ningekuwa karibu niwapopoe kwa mawe ya mugongo...wajinga sana hawa.
 
sasa mjini vyo vya kulipia kama huna miambili ufanyeje na umeshikwa na haja? vyoo vya umma vya bure mijini ni muhimu sana kuliko kulaumu watu wanaolazimishwa na mazingira kuonekena wendawazimu.

inamaana hao wote wamekosa miambili?, hivi kwanza hapo ni wapi?, inatia mashaka, naona kama hiki ni kijiwe cha wavuta bangi.
 
huyo aliyevaa nyeupe naona harufu imemzidia kaziba pua kabisa! hivi haya mambo ni kweli, dunia hii hii au? mmmhhh, we have a very looong way to go.
 
Hii kule 'India ONLY' ni jambo la kawaida sana.Uzuri kuna mida maji yanapitishwa kuondoa DIVIZ kwa mitaro
 
Nimeamini,this is foolish mind perfoming foolishness...

Kweli watu wamejawa mambo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom