Baada ya kumaliza shughuli inaonekana watavaa hivyo hivyo bila ya kujisafisha.Chezea usela mavi wewe
They have no sense of self respect, unadhani wangemjibuje? Labda wampige kabisa. Sometimes all you can do is to raise awareness and let more capable people take actions. Alikua anatafuta ushahidi tu (si unaona picha imepigwa kwa mbali).mimi binafsi najiuliza huyo aliyepiga picha alikuwa wapi asiwakataze? au alikuwa anaona raha kuchungulia mavi ya wenzao?
sasa mjini vyo vya kulipia kama huna miambili ufanyeje na umeshikwa na haja? vyoo vya umma vya bure mijini ni muhimu sana kuliko kulaumu watu wanaolazimishwa na mazingira kuonekena wendawazimu.