Kukosa usingizi wakati wa ujauzito

Esperance

JF-Expert Member
Jan 27, 2011
364
84
Salaam wana JF, mi ni mama nna ujauzito wa mwezi mmoja na nusu, tatizo sipati usingiz kabisa nakesha hadi asubuhi, pia sipendi kunywa maji natapika sana. Naombeni ushauri wapendwa.
 
Salaam wana JF, mi ni mama nna ujauzito wa mwezi mmoja na nusu, tatizo sipati usingiz kabisa nakesha hadi asubuhi, pia sipendi kunywa maji natapika sana. Naombeni ushauri wapendwa.
Pole bibie kwa Ukosefu wa Usingizi jaribu Dawa yangu hii ( Chemsha Glasi Moja Maziwa ya Ng'ombe Fresh kisha Uchanganye na Kijiko kikubwa cha kulia chakula Asali Safi mbichi ya nyuki uwe unakunywa kila usiku wakati unapotaka kulala basi kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu utapata usingizi mnono nakutakia mafanikio mema
 
Pole bibie kwa Ukosefu wa Usingizi jaribu Dawa yangu hii ( Chemsha Glasi Moja Maziwa ya Ng'ombe Fresh kisha Uchanganye na Kijiko kikubwa cha kulia chakula Asali Safi mbichi ya nyuki uwe unakunywa kila usiku wakati unapotaka kulala basi kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu utapata usingizi mnono nakutakia mafanikio mema

asante mzizi mkavu, ntazingatia.
 
Hiyo hali ya kutapika sana itapotea baada ya miezi 3 au mi 4, hivyo vumilia tu. Kuhusu kukosa usingizi subiri wataalam waje..
 
pole sana
mimi pia niliwai kupata matatizo yanayokukuta wewe, na nilikuwa mjamzito pia, but sikutumia kitu hiyo hali itajakuisha yenyewe baada ya muda mfupi..lakini pia unaweza kutumia hayo maziwa uliyoshauriwa.. na pia ule mabiringanya kwa wingi unaweza weka kwenye mboga, au kwa kitu chochote unachokipenda kula,kazana tu kunywa maji kwa wingi kwasababu unatapika, then jitahidi kufanya kazi ambayo itakufanya uchoke kiasi ili upate usingizi usiku.

pia nakushauri ujiunge baby center ni WEB ambayo inanisaidia sana, mimi nina wiki 14 tuko safari moja,
ubarikiwe.
 
pole sana
mimi pia niliwai kupata matatizo yanayokukuta wewe, na nilikuwa mjamzito pia, but sikutumia kitu hiyo hali itajakuisha yenyewe baada ya muda mfupi..lakini pia unaweza kutumia hayo maziwa uliyoshauriwa.. na pia ule mabiringanya kwa wingi unaweza weka kwenye mboga, au kwa kitu chochote unachokipenda kula,kazana tu kunywa maji kwa wingi kwasababu unatapika, then jitahidi kufanya kazi ambayo itakufanya uchoke kiasi ili upate usingizi usiku.

pia nakushauri ujiunge baby center ni WEB ambayo inanisaidia sana, mimi nina wiki 14 tuko safari moja,
ubarikiwe.

Bliss amekupa ushauri mzuri sana...kuna mambo unaweza fanya kiimani/kisaikolojia yakakusaidia na wala hayana madhara yoyote kiafya kwako au kwamtoto uliyembeba.

Wakati wa uja uzito (especially uja uzito mdogo) kuan mabadiliko makubwa ya mfumo mzima wa hormones mwilini mwa mwanamke, hayo yanaweza kukuletea dalili mbali mbali ambazo si lazima zimtokee kila mja mzito (mfano hili la usingizi). Hiyo hali itaisha tu yenyewe, kama ilivyo hali ya kutapika. Dawa ulizoshauriwa na mti mkavu hazina madhara yeyote kwa afya yako wala ya mtoto, kuna faidi ukizizingatia hata kama hazitatibu tatizo la usingizi.
 
pole sana
mimi pia niliwai kupata matatizo yanayokukuta wewe, na nilikuwa mjamzito pia, but sikutumia kitu hiyo hali itajakuisha yenyewe baada ya muda mfupi..lakini pia unaweza kutumia hayo maziwa uliyoshauriwa.. na pia ule mabiringanya kwa wingi unaweza weka kwenye mboga, au kwa kitu chochote unachokipenda kula,kazana tu kunywa maji kwa wingi kwasababu unatapika, then jitahidi kufanya kazi ambayo itakufanya uchoke kiasi ili upate usingizi usiku.

pia nakushauri ujiunge baby center ni WEB ambayo inanisaidia sana, mimi nina wiki 14 tuko safari moja,
ubarikiwe.

thanx BLISS nishajiunga baby center napata updates. Tuzidi kuombeana mpendwa, ubarikiwe nawe pia.
 
Back
Top Bottom