Pole bibie kwa Ukosefu wa Usingizi jaribu Dawa yangu hii ( Chemsha Glasi Moja Maziwa ya Ng'ombe Fresh kisha Uchanganye na Kijiko kikubwa cha kulia chakula Asali Safi mbichi ya nyuki uwe unakunywa kila usiku wakati unapotaka kulala basi kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu utapata usingizi mnono nakutakia mafanikio memaSalaam wana JF, mi ni mama nna ujauzito wa mwezi mmoja na nusu, tatizo sipati usingiz kabisa nakesha hadi asubuhi, pia sipendi kunywa maji natapika sana. Naombeni ushauri wapendwa.
Pole bibie kwa Ukosefu wa Usingizi jaribu Dawa yangu hii ( Chemsha Glasi Moja Maziwa ya Ng'ombe Fresh kisha Uchanganye na Kijiko kikubwa cha kulia chakula Asali Safi mbichi ya nyuki uwe unakunywa kila usiku wakati unapotaka kulala basi kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu utapata usingizi mnono nakutakia mafanikio mema
pole sana
mimi pia niliwai kupata matatizo yanayokukuta wewe, na nilikuwa mjamzito pia, but sikutumia kitu hiyo hali itajakuisha yenyewe baada ya muda mfupi..lakini pia unaweza kutumia hayo maziwa uliyoshauriwa.. na pia ule mabiringanya kwa wingi unaweza weka kwenye mboga, au kwa kitu chochote unachokipenda kula,kazana tu kunywa maji kwa wingi kwasababu unatapika, then jitahidi kufanya kazi ambayo itakufanya uchoke kiasi ili upate usingizi usiku.
pia nakushauri ujiunge baby center ni WEB ambayo inanisaidia sana, mimi nina wiki 14 tuko safari moja,
ubarikiwe.
pole sana
mimi pia niliwai kupata matatizo yanayokukuta wewe, na nilikuwa mjamzito pia, but sikutumia kitu hiyo hali itajakuisha yenyewe baada ya muda mfupi..lakini pia unaweza kutumia hayo maziwa uliyoshauriwa.. na pia ule mabiringanya kwa wingi unaweza weka kwenye mboga, au kwa kitu chochote unachokipenda kula,kazana tu kunywa maji kwa wingi kwasababu unatapika, then jitahidi kufanya kazi ambayo itakufanya uchoke kiasi ili upate usingizi usiku.
pia nakushauri ujiunge baby center ni WEB ambayo inanisaidia sana, mimi nina wiki 14 tuko safari moja,
ubarikiwe.