kukosa admission letter

mie nimekwenda udsm jina likawa halipo nikaambiwa niende tarehe 29 tunapo fungua.niliwahi kuogopa folen lakn duh
 
kama jina umeliona wala usiwe na wasiwasi chuo kikifunguliwa issue hizo zinatatulika sana kama uchaguliwa mlimani nenda ofisi za dean of students /panaitwa yombo karibu na HALL 7 ukifika mlimani uliza ofisi za dean utaonyesha .kwa watu wa vyuo vingine uliza ofisi ya dean au registar
 
kama jina umeliona wala usiwe na wasiwasi chuo kikifunguliwa issue hizo zinatatulika sana kama uchaguliwa mlimani nenda ofisi za dean of students /panaitwa yombo karibu na HALL 7 ukifika mlimani uliza ofisi za dean utaonyesha .kwa watu wa vyuo vingine uliza ofisi ya dean au registar

ahsante sana brother...ubarikiwe!
 
Back
Top Bottom