ila inaweza ikawa inamaanisha nin haswa?
mpigie dean of student namba zake hizi hapa: 0714800880
acha utani kijana....
kama jina umeliona wala usiwe na wasiwasi chuo kikifunguliwa issue hizo zinatatulika sana kama uchaguliwa mlimani nenda ofisi za dean of students /panaitwa yombo karibu na HALL 7 ukifika mlimani uliza ofisi za dean utaonyesha .kwa watu wa vyuo vingine uliza ofisi ya dean au registar