FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Du mie nilienda ugenini kuna binti alikuwa akikoroma yaani ni bora utangulie weye kusinzia lakini akitangulia yeye wewe ndo utahesabu mabati mpaka morning
lakini wewe ama siku hizi umenenepa na kupata kitambi ..kama zamani ulikuwa hukoromi iweje sasa ??
lakini wewe ama siku hizi umenenepa na kupata kitambi ..kama zamani ulikuwa hukoromi iweje sasa ??