wanajamii nimenunua machine za restaurant kwa $ 10 000 na custom nimelipai kama 3m
nia yangu ni kukodisha kwa malipo ya kila mwezi ,
dhamana ya machine inaitajika kama ni nyumba au pesa
je kuna mawazo yoyote kutoka kwa wanajamii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.