Chiziiiiiiiiiiiiii
Don't dare compare a giant (Dr.Slaa) with a pygmy (Dr.Mwakyembe or anybody in CCM circles). Nchi hii imefirisiwa na kukamuliwa kila ilicho nacho hawa kina Mwakyembe wakiwa ndani ya CCM. Hawajwahi thubutu kunyosheana kidole na wala hawajahi kuweka strategies za kuzuia mianya ya rushwa, uzembe, ubadhrifu, wizi na machafu yote kama haya.Hawahawa kina Ssita, Mwakymebe, Kilango, Magufuri wameshuhudia benki kuu yetu ikivunjwa na pesa kuchukuliwa mithili ya cha mgema huliwa na mlevi. Wameshuhudia madudu ya IPTL, Buzwagi, Richmond, Mikataba yote ya madini, mistu yetu inayovunwa kama shamba la bibi, viwanda vyetu vinagawiwa na kugeuzwa maghala ya bidhaa toka nje, mbuga za wanyama zimeuzwa. Wote hawa wamo ndani ya chombo kinachozama.
Kumsimamisha Chizi ndio Mwakyembe apungunze kura za Dr.Slaa come 2015? You are kidding. CDM ni nyumba iliyojengwa kwa muda mrefu chini ya concrete strategies na ideologies. CCM haina ideology practically bali theoretically ni ujamaa na kujitegemea bali kwa vitendo wanacheza ngoma nyingine. Sasa watu wanaendeleza unafiki kwa vitendo na kuweka katika kumbukumbu za historia wanaweza kutuletea good candidate. Si rahisi hivyo hata kama watu aina yako na Rutashubanyuma wanaaamini hivyo basi.
Nakubaliana na wewe kabisa, lakini zaidi ya hayo yawezekana Mwakyembe anafanya maagizo ya hao wenye nchi maana nasikia Chizi alikuwa anakuja juu kwenye sekta ya anga hata kuwatishia waliokuwa wanatawala hilo anga.
Just thinking.
ni aibu kwa nchi kama tanzania yenye GAS,MADINI lakini hatuna ndege..wenzetu jirani kenya wana KQ ni aibu jamani. precision sasa hivi ndio kama vile ni ndege ya kitaifa. Watu wanafikiria matumbo yao tu bora mwakyembe kafanya mambo na bado awatimue na wengineo wengi na wafikishwe mahakamani.