Haya hiyo ndiyo Tanzania, eti tuambiwe tu ATC inayo ndege inaruka, tunatakiwa wananchi tujielewe tuiondoshe hii serikali ya kifisadi madarakani
Siyo tu oondoshe serikali bali uondoshe kizazi kizima kwani hapa tatizo ni watu. Watu tumekuwa na tamaa ya mali ktk nafsi zetu na mfumo huo umeanzia vyuoni. Mwanachuo anapomaliza chuo mawazo yake ni kupata kazi na mafanikio ya maisha ya fasta fasta ndio maana. Na vijana wengi ndio wamekuwa vishawishi kwahao wazee kuanza kuiba,maana wazee hawajatahamaki wanaona kijana katoka chuo juzi mara ana kila kitu.