watu wengi wamekalili kukiss ndio moja wapo ya kukuamasisha kufanya mapenzi,lakini si kweli unaweza ukakaa na mpz wako mkakiss bila kufanya mapenzi.lakini kwa baadhi ya wabongo hawawezi.
Na sisi wabongo tunaoweza je?????????
Una taka kuthibitisha?????
mbona mi naweza??? Mpenzi wangu bebii huwa hapendi mwanaume wa kungonoka.
watu wengi wamekalili kukiss ndio moja wapo ya kukuamasisha kufanya mapenzi,lakini si kweli unaweza ukakaa na mpz wako mkakiss bila kufanya mapenzi.lakini kwa baadhi ya wabongo hawawezi.
inaelekea una kauzoefu....hebu fafanua wabongo linaloshindikana ni lipi...................................lakini nitoe angalizo la awali hivi malengo ya kubusiana ni yepi.........................................au ni busu heading to nowhere...............................better not start the fire if you can not handle sleeping in the kitchen............
watu wengi wamekalili kukiss ndio moja wapo ya kukuamasisha kufanya mapenzi,lakini si kweli unaweza ukakaa na mpz wako mkakiss bila kufanya mapenzi.lakini kwa baadhi ya wabongo hawawezi.
watu wengi wamekalili kukiss ndio moja wapo ya kukuamasisha kufanya mapenzi,lakini si kweli unaweza ukakaa na mpz wako mkakiss bila kufanya mapenzi.lakini kwa baadhi ya wabongo hawawezi.
][/B]Hoja kama hizi pelekeni facebook jamani maana mnashusha credibility ya JF. Kule facebook utakuta watu wako uchi kabisaa na ukiidondosha tu hii utapata wachangiaji wengi sana.
Hoja kama hizi pelekeni facebook jamani maana mnashusha credibility ya JF. Kule facebook utakuta watu wako uchi kabisaa na ukiidondosha tu hii utapata wachangiaji wengi sana.