Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
hahaha Thidanganyiki umenikumbusha ....
Am Waiting......
hahaha Thidanganyiki umenikumbusha ....
kwa sababu mbilinge yake kumpata ndiyo inamnogesha sana akishaandaliwa mezani.Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
I guess so.... (on his behalf, of course)
Hiyo ishu imekaa kifalsafa zaidi-ila hamna tatizo acha kila mtu aichambue kulingana na uelewa wake.Nakupongeza mkuu kwa hii nyuzi ni changamoto hapa jukwaani.Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
...he!he!he! ngoja aje Masa boy, kama hujaomba msaada tutani.......!
Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
Unayemfahamu yukoje? Best hawa jamaa wanazungumzia malovedave!sasa wajameni mnamzungumzia kuku ninaemfahamu mimi au?...!
Kwanza wakati akimbiapo,unamuona kwa nyuma anavyochezesha mkia wake,alafu chenga atakazo kuwa anakupiga zitafanya ufurahi maana wakati mwingine chenga hizo ni ndogo sana kiasi kwamba ungeweza kumksmata,lkn ukishamkamata si unajua hana tena nguvu ya kukimbia?nadhani unajua kitakacho fuata kitoweo tu then baada ya kula unalala chali kwa uchovu wa kushiba!