Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Kuna wakati inafika wanandoa hawaridhishani, hasa mke haridhishwi.
Nazungumzia kwa wale wanandoa ambao mume umri umeenda na utendaji umedrop sana. Bao moja jogoo haamki tena! Utakuta mke bado anatamani ila hawezi kupata na mke mwenyewe bado analipa. Akitafuta mtu wa kumkuna kuna ubaya? Anahitaji nae kutosheka.
Hii imekaaje. Hili Si suala dogo lakini
Wakati wanaoana hawakuliona hili?? Au walidhania maisha ya ndoa yanaganda ktk ujana na afya njema tu??