zaleo
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,902
- 764
Hizo ndo siasa za Bongo Nkuu! Usijiumize kichwa. Ni baraza la ze comedi.Smaye bwana, yaani analalama kufanyiwa kuhujumiwa na CCM kugubikwa na rushwa na ufisadi wa kutisha, lakini bado ameng'ang'ania katika chama hiki kiovu, kwa nini asitoke na asubiri mpaka atakapoenguliwa katika kugombea uraisi? Je akiteuliwa ufisadi wa CCM utaisha kwa kuwa yeye kateuliwa?. Mbona ufisadi na rushwa vilikuwemo CCM wakati yeye alikuwa waziri mkuu na hakuchukua hatua?