Naona umeamka usingizini.pata gahawa kidogo!tartoo,
Ungeanza kutuambia kwanza nani amesema Sumaye fisadi halafu tuanzie pale.
Mkuu unatuuliza sisi au unatufahamisha?
na ile ya uk ya milioni 800 vp?Hukumbuki ziara ya siku moja Nairobi alitumia Zaidi ya Milioni 500.Watanzania wepesi sana kusahau