Naangali Supersport 3 kunatakiwa kuwe na live match kati ya Gabon na Brazil, kituko kimetokea just before kick off umeme umekatika na President ndo mgeni rasmi, ni aibu tupu yaani mpaka sasa mechi imechelewa kwa dk 15.
Ahaaaa haaa umenichekesha saaana yaani ni kama vile unalala njaa nyumbani kwako halafu unagundua kuwa hata jirani yako pia amelala njaa halafu unafarijika kana kwamba njaa ya jirani yako itapunguza ya kwako.
This kind of thinking ndio walionayo wengi wa viongozi wetu wa serikali. Wanapenda sana kusema kwamba umaskini si tatizo la TZ ni la dunia nzima!! Oh kupanda kwa gharama za maisha si kwa TZ ni dunia nzima!! Bei za mafuta ni juu dunia nzima!!