Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
Jeshi ambalo linawapiga wanaolipa kodi kwa kuwepo kwao hatulitaki. Jeshi lisilokuwa na nidhamu hatulitaki.
Hii ni tabia ambayo imejitokeza kwa muda mrefu na inaendelea. Yuko wapi waziri atueleze sababu za wanajeshi kuchukua hatua hii mikononi mwao. JWTZ sio Polisi? Kulikoni?
Hii ni tabia ambayo imejitokeza kwa muda mrefu na inaendelea. Yuko wapi waziri atueleze sababu za wanajeshi kuchukua hatua hii mikononi mwao. JWTZ sio Polisi? Kulikoni?