Kukatia maji JWTZ tuone fahari au wazimu?

wanadaiwa bill ya maji! hawajalipa, wakakatiwa!! sasa tatizo ni nini!!?? kwani wao wanajeshi ni kina nani hasa, mpaka wapate hizo "special tx's"?? oooooh wanalinda TZ, thts boooooo!! kwani wanafanya hiyo kazi bure?? kuna mtu kamalazimisha mtu awe mwanajeshi?? hivi hao mgambo vilaza wanafanya nini hasa cha maana toka ile vita ya kagera iishe?? hivi wao na Madaktari ni wepi hasa wa maana sana?? kama ni Docs, mbona wao hapapati any preferential tx's??
Acheni uzembe hapa, kama walikuwa hawalipia maji, basi hao dawasco sijui dawasa ilikuwa halali yao kuwakatia!!
Mkjj una lako jambo ktk hili, ndio maana unatiwa mashaka sana ndani ya mioyo ya baadhi ya watu.........tatizo lako ni nini hasa?? chepi unachotaka?? huoni hii issue ni simple sana, ipo kwamba, "you don't pay your bills, you don't get the services." SIMPLE, dunia nzima ndio utaratibu ulivyo...........kaaazi kweli.

Ha ha lakini bana kusema kweli hawa wanajeshi wetu wangekuwa wanasaidia kwenye shuguli za maendeleo kama kujenga mashule,zahanati na vitu vingine. Ila kwenye issue ya deni ni haki yao wewe umetumwia notice miezi mitatu bado unakadi unategemea nini? Chimba kisima chako mwenyewe kama hutaki shida.
 
Ha ha lakini bana kusema kweli hawa wanajeshi wetu wangekuwa wanasaidia kwenye shuguli za maendeleo kama kujenga mashule,zahanati na vitu vingine. Ila kwenye issue ya deni ni haki yao wewe umetumwia notice miezi mitatu bado unakadi unategemea nini? Chimba kisima chako mwenyewe kama hutaki shida.

Mimi bado nauliza dawa ya deni la malipo ya umeme/maji ni nini????

Je kama JW wangekuwa leo hii wanatumia luku ya maji.. na units zimeisha na maji yamekatika je wangempiga Afande/CO?

Walipe tu hapa hakuna cha uafande!
 
Ha ha lakini bana kusema kweli hawa wanajeshi wetu wangekuwa wanasaidia kwenye shuguli za maendeleo kama kujenga mashule,zahanati na vitu vingine. Ila kwenye issue ya deni ni haki yao wewe umetumwia notice miezi mitatu bado unakadi unategemea nini? Chimba kisima chako mwenyewe kama hutaki shida.

Naomba nifahamishwe. Hivi nikiletewa bill ambayo sikubaliyani nayo, mimi kama mteja nina nafasi gani katika hili? Ninachojua ni kuwa mashirika mengi ya huduma huwa wanakwambia lipa kwanza ndiyo tujadiliane. Kama katika muda wa mwezi mmoja ninapata maji saa mawili na tena usiku wa manane, mimi kama mteja nina nafasi gani ya kulalamikia bill ya shs 20,000 ati kwa sababu ninakaa Upanga! Haya mashirika yetu yanawajibika vipi katika utoaji wa huduma zao?
 
Ha ha lakini bana kusema kweli hawa wanajeshi wetu wangekuwa wanasaidia kwenye shuguli za maendeleo kama kujenga mashule,zahanati na vitu vingine. Ila kwenye issue ya deni ni haki yao wewe umetumwia notice miezi mitatu bado unakadi unategemea nini? Chimba kisima chako mwenyewe kama hutaki shida.

hili jeshi nalo ni fisadi!!!.....hivi ni nini hasa ujumbe ktk sakata hili??? sasa unataka kusema pia wale "njuka" kule UD nao pia ilikuwa halali kumfanyia "timbwili" Mukandala kwa kukosa maji?? wewe MKjj, ebu temea mate pembeni!! gademu.
 
Naomba nifahamishwe. Hivi nikiletewa bill ambayo sikubaliyani nayo, mimi kama mteja nina nafasi gani katika hili? Ninachojua ni kuwa mashirika mengi ya huduma huwa wanakwambia lipa kwanza ndiyo tujadiliane. Kama katika muda wa mwezi mmoja ninapata maji saa mawili na tena usiku wa manane, mimi kama mteja nina nafasi gani ya kulalamikia bill ya shs 20,000 ati kwa sababu ninakaa Upanga! Haya mashirika yetu yanawajibika vipi katika utoaji wa huduma zao?

This is another debate.. je umeambiwa JW wamequestion hii bill ya DAWASA?

Well naona pole2 kama Tz tunaanza kubadilika!
 
Mimi bado nauliza dawa ya deni la malipo ya umeme/maji ni nini????

Je kama JW wangekuwa leo hii wanatumia luku ya maji.. na units zimeisha na maji yamekatika je wangempiga Afande/CO?

Walipe tu hapa hakuna cha uafande!

hapo sasa!! dawa ni kulipa bills tu......hakuna cha wewe sijui nani wala nini!! haya ndio maujinga ktk legacy ya Mchonga, mambo ya kudekezana....usije kuta hawa JWTZ hawajawaigi kulipa maji wala umeme toka kuanzishwa kwao!! halafu unashangaa kwani makampuni ya umma yalikuwa yanakuwa muflisi!! bure ghali kaka, mie natoa pongezi nyiiiiiiiiiiiiiiiingi kwa kampuni hili la maji kwa kitendo chao cha kizalendo.
wewe mkjj, kama una nia mbaya, basi ushindwe!!!.
 
hapo sasa!! dawa ni kulipa bills tu......hakuna cha wewe sijui nani wala nini!! haya ndio maujinga ktk legacy ya Mchonga, mambo ya kudekezana....usije kuta hawa JWTZ hawajawaigi kulipa maji wala umeme toka kuanzishwa kwao!! halafu unashangaa kwani makampuni ya umma yalikuwa yanakuwa muflisi!! bure ghali kaka, mie natoa pongezi nyiiiiiiiiiiiiiiiingi kwa kampuni hili la maji kwa kitendo chao cha kizalendo.

Mkuu YRS,

Maneno mazito sana haya, vipi Zanzibar nasikia nako huwa tunawapa umeme bure ili waendelee kuwepo kwenye muungano, ni kweli au?
 
Mkuu YRS,

Maneno mazito sana haya, vipi Zanzibar nasikia nako huwa tunawapa umeme bure ili waendelee kuwepo kwenye muungano, ni kweli au?

Hii hoja nzito!

Mimi nasema Visiwani nao walipie tu na waache kubebwa ..si uungwana kubebwa!

Taabu TANESCO ufisadi ndo analipia Mtumiaji mdogo wa Visiwani au Bara!

Bado nasema dawa ya bill ni kulipia sioni alternative.. naomba wenye alternative waweke hapa ili tujadili..ili siko tayari kujadili diplomasia as one of the strategies kulipia!
 
Mkuu YRS,

Maneno mazito sana haya, vipi Zanzibar nasikia nako huwa tunawapa umeme bure ili waendelee kuwepo kwenye muungano, ni kweli au?

mkuu ES,
loooooong time man!!!,
sina data kuhusu zenji na umeme wa bure!! lakini kama wanapata bure ni tabia mbaya sana, inayosababisha uzembe na kutokuwa wawajibikaji. no wonder haya makampuni yalikuwa yanashindwa kujiendesha kwa faida.........utamaduni lazima ujengwe, utamaduni wa uwajibikaji, kama JWTZ wanapata bill ya maji basi ni budi kwao kulipa!! Zenji kama ni kweli wanapata umeme wa bure, basi hii ni aibu kubwa sana kwa wazenji woooooote kwani wapo kwenye "welfare," ukweli ni kwamba real men and women of course hawaishi kwa kupenda bure!!!.
 
Ha ha lakini bana kusema kweli hawa wanajeshi wetu wangekuwa wanasaidia kwenye shuguli za maendeleo kama kujenga mashule,zahanati na vitu vingine. Ila kwenye issue ya deni ni haki yao wewe umetumwia notice miezi mitatu bado unakadi unategemea nini? Chimba kisima chako mwenyewe kama hutaki shida.

Hivi tufanye uchanganuzi in the past 10 years JW wamesaidia watu wa kawaida kwa kodi zetu kivipi? Nchi ina amani tosha sana tangu 1979!

Je Ni shule ngapi za primary/sekondari wamejenga?
Zahanati ngapi wamejenga ktk kujitolea?
Ni maafa mangapi wamehusika???

Kama ni wazalendo basi tuwaone zaidi ktk shughuli za kila siku kumsaidia Mtz wa kawaida!

JW ni Watz wenzetu na tunawependa..ila wanapoamua tu kuanza kupiga watu DAWASA tunaona sii uungwana!
 
walipe na wasipolipa kata maji au charge interest na kama wamepiga watu peleka court shitaki haraka sana...sijui hata kwanini tuna debate hii kitu wakati kila kitu kiko wazi!
 
iwapo jeshi limepewa notice ya miezi mitatu na hawajalipa....wakatiwe kama sector nyengine.
kwa nini tuwape priorities?? kwa kuwa wana silaha?
iwapo jeshi letu litatuhujumu kwa vile wamekatiwa maji na dawasa.....then from the beggining hilo silo jeshi ambalo wanatanzania tunalihitaji.
jeshi linabidi liwajibike na lionyeshe mfano wa kuigwa na raia, na sio kubabaisha na kupewa sababu za upendeleo bila ya msingi.
 
Yote mnayosema ni kweli na ninakubaliana na nyinyi; ninachoongeza ni kuwa suala hili lingeweza kumalizwa bila kukatiana maji. Na hapa siwalaumu DAWASA tu nazungumzia jinsi uongozi mzima wa serikali. Mnapofikia kama nchi kulikatia Jeshi lenu la Ulinzi huduma muhimu kama maji, nyinyi kama mataifa mmefilisika kiuongozi. Kwa sababu Jeshi siyo "kama sekta nyingine". Hospitali unaweza kubadilisha, shule unaweza kubadilisha, ofisi unaweza kubadilisha, jeshi huwezi kuamka na kulibadilisha tu!! think...!!
 
yes, hapo mzembe ni serikali au labda pia upo kwenye uongozi wa jeshi lenyewe.
pale jeshi lilipopelekewa notice ya kwanza, na wakajikuta hawana pesa, walikuwa wafuatilie moja kwa moja kwa waziri wao, ambae nae awasiliane na ama ofisi ya rais au viongozi wengine kutafuta pesa hiyo ya kulipia....na sio dawasa kupeleka malalamiko kwa serikali.
uzembe umetendwa na utawala wa jeshi lenyewe (ama kwa ukosefu wa ufahamu wa utaratibu au kwa kuona dawasa can do nothing to them na kutotilia maanani notice hiyo) au labda unaweza kuwa uzembe ulifanywa na serikali, iliyoshindwa kufanya utaratibu unaofaa kwa wakati muafaka kwa uzembe au kwa kuona kuwa dawasa haiwezi kulikatia jeshi maji.
good job dawasa, na hii inaweza kuwa ndio funzo kwa serikali yetu, kuwa mashirika yanayojitegemea lazima yapewe uhuru wa kufanya kazi zake ipaswavyo
 
Yote mnayosema ni kweli na ninakubaliana na nyinyi; ninachoongeza ni kuwa suala hili lingeweza kumalizwa bila kukatiana maji. Na hapa siwalaumu DAWASA tu nazungumzia jinsi uongozi mzima wa serikali. Mnapofikia kama nchi kulikatia Jeshi lenu la Ulinzi huduma muhimu kama maji, nyinyi kama mataifa mmefilisika kiuongozi. Kwa sababu Jeshi siyo "kama sekta nyingine". Hospitali unaweza kubadilisha, shule unaweza kubadilisha, ofisi unaweza kubadilisha, jeshi huwezi kuamka na kulibadilisha tu!! think...!!

kaka,
inavyoonekana hapa tatizo ni uwajibikaji wa uongozi wa jeshi! kwani kwa mawazo yangu hili jeshi lina bajeti yake ya matumizi ya kila kitu including maji.....sasa kama huwa hawalipi bill, hizi pesa zinaenda wapi?? kama serikali mjini dodoma/daslam haiwapi pesa kwa ajili ya kulipia maji na umeme hiyo ni issue nyingine na nitakuwa pamoja na wewe. otherwise ni jeshi lenyewe ndio tatizo na huu ni uzembe wa kifisadi na ni wizi kutaka bure kwa kutumia maguvu!! dawasa ni sehemu ya jeshi, dawasa si shirika linalo jiendesha kwa kutegemea services zake na ulipwaji wa bills. sasa kama bill hazilipwi shirika hili litajiendesha vipi??
haya ni matunda ya ujamaa wa nyerere, pale taasisi moja inaendeshwa kwa gharama za taasisi nyingine, matokeo yake ndio kila kitu kinakufa na kunakuwa hakuna mtu wakuwa answerable!!.
kama kuna bajeti, basi lazima bills zilipwe bila ya kuwa na excuse yeyote.
 
YNiM, sidhani kama umelifuatilia suala hili vizuri. Hivi juzi msemaji wa Jeshi siyo tu alionesha kuwa wanalipa bili zao alionesha na risiti na ankara nzima za malipo. Wao kama Jeshi wanalipa kutokana na fedha wanazopatiwa siyo tu wanazotengewa. Kama hawajapewa fedha kwa sababu mafisadi wamezitumia kwingine, kwanini waadhibiwe wao? Hivi Jeshi likililia lipewe pesa ya kulipia maji halafu hawapewi wafanye nini?
 
YNiM, sidhani kama umelifuatilia suala hili vizuri. Hivi juzi msemaji wa Jeshi siyo tu alionesha kuwa wanalipa bili zao alionesha na risiti na ankara nzima za malipo. Wao kama Jeshi wanalipa kutokana na fedha wanazopatiwa siyo tu wanazotengewa. Kama hawajapewa fedha kwa sababu mafisadi wamezitumia kwingine, kwanini waadhibiwe wao? Hivi Jeshi likililia lipewe pesa ya kulipia maji halafu hawapewi wafanye nini?

wakatiwe maji, halafu uongozi wa jeshi utume malalamiko wizarani na sio kwenda kufanya ghasia kwenye taasisi huru, kama brats ambao wapo spoiled kupita kiasi........ni kweli sijafuatilia issue hii kwa kina, kwasababu kwa mawazo yangu mimi sakata zima ni no brainer, mchawi ni serikali na sio dawasa!! na lilia wao kwenda kupiga watu, that was WRONG!!!.

asante sana kwa kunivumilia!!
 
Hilo la kupiga watu halina mjadala. Ndio maana sijaliweka kwenye equation kwani wanajeshi kupiga wananchi siyo geni na ni uzembe wa nidhamu jeshini na utawala wa sheria kwani siyo mara ya kwanza wanajeshi kwenda kufanyiza kwa sababu yoyote ile..

Hoja yangu iko kwenye ulazima wa DAWASA chombo cha serikali kwenda kulikatia maji Jeshi. Na sababu yangu haihusiani na mambo ya coup kwani Jeshi letu lina nidhamu mno na linaheshimu utawala wa raia. Tatizo langu ni jepesi tu; kulikuwa na ulazima wa kukikatia chombo muhimu kama hicho maji kwa tatizo ambalo lingeweza kutatuliwa kirahisi kabisa?

Hivi kwa mfano, DAWASA wangetangaza hadharani taasisi zote za serikali ambazo hazijalipa bili na kusema mna masaa 24 kulipa au kuonesha hatua mnalipa kungekuwa na ubaya gani?
 
ndugu yangu mie naona tunaenda in cycles tu!! dawasa wamefuata taratibu zao za kiutendaji, jeshi kwao wao dawasa ni kama mteja mwingine yeyote! ilikuwa hakuna haja ya kutoa masaa 24 ilihali wana taratibu zao na zimefuatwa kwa protocols zao za kiutendaji!! issue hapa ni uwajibikaji, na kimsingi uongozi wa dawasa mie binafsi nimeufagilia kwa kuonyesha high stds bila upendeleo!!
nimepaona wapi mie na wewe tunapokosa kukubaliana, lakini ndio demokrasia!! mie naangalia na kuzungumzia utendaji halali wa kampuni kama taasisi huru, wewe bado una mambo yale ya nyerere ya kulindana ambayo matokeo yake sisi sote tunayajua.
Dawasa ni mfano mzuri sana wa uwajibikaji ktk Tanzania!!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom