Kukatia maji JWTZ tuone fahari au wazimu?

They could have done it more diplomatically though, maana when you mess with those guys, you play with our National Security. Also wanasahau kuwa in order for Dawasco to request money for expenditures and stuff it has to go through the cabinet kabla ya kwenda bungeni, sasa kama wanawasumbua watu wa ulinzi, si Mwinyi anaweza kugoma kidogo kule...this should have been handled more diplomatically. Dawasco wangemuambia Prof kwanza, "Mzee ongea na Mwinyi maana wale jamaa wanatuchezea..."

Ila naamini kwamba fujo zilifanywa na watu wa chini ambao hawakutumwa na mtu na watashughulikiwa.

Kuhusu kupatikana Milioni 400 za mpira, hiyo si order ya bwana mkubwa ambaye anavalue mpira na mbwebwe kuliko basic huduma kwa wananchi. Seikali kutoa hela kwa huduma ni process ngumu sana, ila nenda ukaombe pesa za mradi fixi and you promise an official a commission, uone utapata pesa gani.

Hii attitude ya kuweka special preference kwa watu wa ulinzi ndiyo inayo create monsters.

Rule of law lazima ifuatwe, usipolipa unakatiwa, haijalishi kama wewe mwanajeshi,askofu, mbunge, waziri, serikali ya Zanzibar au mungumtu yeyote aliye katika jamhuri yetu.

Nyerere alishasema nchu yetu inahitaji rais "kichaa" ili iendelee, huyu kichaa aliyepo maji anayehatarisha maisha yake by taking on the army anastahili medali.

Kumbukeni maji ni biashara na kutolipa bili kunachangia miundombinu kutotengenezwa na wengine kutopata maji.
 
Hii attitude ya kuweka special preference kwa watu wa ulinzi ndiyo inayo create monsters.

Rule of law lazima ifuatwe, usipolipa unakatiwa, haijalishi kama wewe mwanajeshi,askofu, mbunge, waziri, serikali ya Zanzibar au mungumtu yeyote aliye katika jamhuri yetu.

Nyerere alishasema nchu yetu inahitaji rais "kichaa" ili iendelee, huyu kichaa aliyepo maji anayehatarisha maisha yake by taking on the army anastahili medali.

Kumbukeni maji ni biashara na kutolipa bili kunachangia miundombinu kutotengenezwa na wengine kutopata maji.

Pundit, in a perfect world where ideal situations rule supreme nakubaliana na wewe kwa asilimia 101 na moja; katika ulimwengu ambapo reality is the rule of the game, jamii ni lazima ifanye uchaguzi wa nini inataka kwanza na nini kifuatie. Katika ulimwengu wako wewe (perfect where the rule of law is adhered by everyone) hospitali ya Taifa kama Muhimbili ikatiwe umeme hata kama kuna operesheni za kuokoa maisha ya watu na hasa kama deni lenyewe "linalipika" au linaloweza kulipika bila kukatia umeme.

Kwa hoja yako ni kuwa haijalishi nini kinafanyika na wapi kinafanyika kama ni kukata umeme au maji wakate tu! Mimi kwa upande wangu licha ya kutofurahia madeni hayo na kuchukua jitihada ya kuyaepuka naamini tunu iitwayo hekima/busara bado inaweza kutumika. Ndio maana hata sisi wenzetu hapa ukichelewa kulipa bili yako iwe ya umeme, maji, au hata mortgage hawakuchukulii hatua moja kwa moja wanakupa nafasi nyingi za kurekebisha hadi wanaenda kwenye collection agencies.. na kuna sehemu kama hapa Michigan ukichelewa kulipa bili ya umeme makampuni hayaruhusiwi kukata gas kwa ajili ya head wakati wa winter!

So, nakubaliana na wewe on principle lakini napinga kiutekelezaji kama hatutaamua nini kiwe cha kwanza na nini kipewe kipaumbele. Naamini hakukuwa na sababu ya kukatia maji Jeshi kama chombo nyeti na muhimu kwa usalama hata wa makampuni ya Maji yenyewe! Kwa sababu kama mtu angeokota Bomu pale Dawasa na akachomoa kipini na kulipua baadhi ya majengo yake, guess nani angetakiwa kukimbia pale? JWTZ!... nadhani ni kukosekana hekima tu. Do you agree?
 
Hii attitude ya kuweka special preference kwa watu wa ulinzi ndiyo inayo create monsters.

Rule of law lazima ifuatwe, usipolipa unakatiwa, haijalishi kama wewe mwanajeshi,askofu, mbunge, waziri, serikali ya Zanzibar au mungumtu yeyote aliye katika jamhuri yetu.

Nyerere alishasema nchu yetu inahitaji rais "kichaa" ili iendelee, huyu kichaa aliyepo maji anayehatarisha maisha yake by taking on the army anastahili medali.

Kumbukeni maji ni biashara na kutolipa bili kunachangia miundombinu kutotengenezwa na wengine kutopata maji.

Dawasco walikosea kwenda kimbelembele na kukata bila ku-consult wizara ambayo ongea na Wizara ya Ulinzi na Jeshi to avoid hizi, hawa walikwenda kwa mbwembwe with reporters kuonyesha ubabe. Kuna sehemu flani ambazo hukati maji na huduma nyingine hovyo hovyo (Hospitals, Ikulu, Jeshi, and other sensitive areas)
Mbona maji yamesharudishiwa jeshini na bili inalipwa kutoka Ulinzi, mgororo umeshakwisha baada ya mawaziri na viongozi kuongea. Ni maongezi tu na hawa watu, kwanza think about this, wale jamaa ni njaa kama wananchi wengine halafu mnawapa silaha juu yake, this is africa my friend mkiacha kuwatreat hao jamaa kwa kutoa huduma zao and other perks (kama ukuu wa mikoa for the retirees) italeta fujo nchi yetu changa bila maana. Kila siku wanafanya fujo zisizo za msingi hawa jamaa, why risk pissing them off, kila mtu humu kwenye forum has had some experience with dealing with wanajeshi vichaa (and i am not sayin that they represent the entire army)
Diplomacy always works. Hawa Dawasco nao it was a publicity stunt and nothing else. Although it is a semi independent company it is still funded by the Govt, and they should have consulted with the Ministry first. They need a new PR manager over there na sio kugeuza huduma za maji kuonekana kama campaign ya kisiasa. SHida ni Bili, Dawasco walimpigia DK Mwinyi kumuambia mzee sasa vipi pesa yetu? au Mwamunyange? au Dawasco walitumwa na mtu kujaribu tu kuwa-test viongozi hawa wapya.

Does it really make sense to just cut off water from the Defense Forces camps? we are lucky Tanzanians are laid back, if it was elsewhere, i can just see a coup happening with silly unthinkable and stupid planning on the part of Dawasco - although i might add, that took some balls.
 
Obviously there is an exception to every rule, na kukata umeme/maji Muhimbili kwa sababu ya deni kutawaumiza wagonjwa ambao hawajahusika.

Swala la wanajeshi ni tofauti kwa sababu hawana urgency kama ya wagonjwa wa Muhimbili.Wanajeshi wamezoea kupata preeferential treatment na jamii imekubali kuwa ni sawa mwanajeshi kutolipa umeme, na ukimdai atakupiga.This needs to stop.

Next stop serikali ya Zanzibar.Muungano usiwe ransom.
 
Obviously there is an exception to every rule, na kukata umeme/maji Muhimbili kwa sababu ya deni kutawaumiza wagonjwa ambao hawajahusika.

Swala la wanajeshi ni tofauti kwa sababu hawana urgency kama ya wagonjwa wa Muhimbili.Wanajeshi wamezoea kupata preeferential treatment na jamii imekubali kuwa ni sawa mwanajeshi kutolipa umeme, na ukimdai atakupiga.This needs to stop.

Next stop serikali ya Zanzibar.Muungano usiwe ransom.

ni wakati gani jeshi linakuwa siyo urgent? Sera ya Tanzania ya Usalama ni Utayari wa vita. Ukiwakatia maji Jeshi hauwaweki tayari kwa vita. So that sounds like urgent to me. What say you?
 
ni wakati gani jeshi linakuwa siyo urgent? Sera ya Tanzania ya Usalama ni Utayari wa vita. Ukiwakatia maji Jeshi hauwaweki tayari kwa vita. So that sounds like urgent to me. What say you?

Sasa kama hawa Wanajeshi wamepewa notici ya 3 months.. je wabembelezwe zaidi kwa manufaa ya nani? Hata Muhimbili wakipewa nitisi mara 3 kama hawalipi..je iweje? Pesa zipo ila zinatumika kulipa posho, magari n.k. Hii pesa itumike kulipia umeme!

Hata Majuu unapewa 3 warnings-- then wanakukatia maji.

Hatuko tena ktk enzi za sera za Ujamaa!
 
Sasa JWTZ wakifanya revolt shauri ya kukatiwa maji tutafanya nini? Sababu za coup wakati mwingine ni vitu vya kijinga kama hivi kukatiwa maji! DAWASA wanacheza na moto!
 
Hii attitude ya kuweka special preference kwa watu wa ulinzi ndiyo inayo create monsters.

Rule of law lazima ifuatwe, usipolipa unakatiwa, haijalishi kama wewe mwanajeshi,askofu, mbunge, waziri, serikali ya Zanzibar au mungumtu yeyote aliye katika jamhuri yetu.

Nyerere alishasema nchu yetu inahitaji rais "kichaa" ili iendelee, huyu kichaa aliyepo maji anayehatarisha maisha yake by taking on the army anastahili medali.

Kumbukeni maji ni biashara na kutolipa bili kunachangia miundombinu kutotengenezwa na wengine kutopata maji.

Jeshi la tanzania lina linda kila mtu ndani ya nchi dhidi ya mashambulizi yeyote kutoka nje ya nchi.
Jeshi la ulinzi ndilo liko nyuma ya nguvu za wanasiasa wote.

Viongozi wa SISIEMU wameiba Mabillioni ya fedha mengine wanaendelea kuiba kila siku ya Mungu ili kuwalipa SONGAS,IPTL,RDC nk. Mabilioni mengine yanaibiwa TRA mengine yanaibiwa bandarini Mengine yanaibiwa Maliasili na Utalii.

Mkuu wa mkoa anaua mtu mbele za watu kibao anachiliwa na kuendelea kupeta huku akitukana watu kwamba kama wana ghubu walielekeze kwa wake zao.

Kuna mawaziri kibao wanadaiwa bill za maji za mika 10 hawalipi.
Kuna watumishi wa serikali hawajawahi kulipa Bill za maji tangu waanze kufanya kazi miaka ya 70.

Busara ya Serrikali ya SISIEMU ni kuacha kila mtu na kwenda kuwakatia maji wanajeshi.
Mimi siwatetei kwa kosa lao la kuacha kulipa Bill ya maji, ila kama wao watafuata hali halisi na kuchukua sheria mikononi mwao na kudai sheria ifuatwe tena kwa kutumia zana walizo nazo(know what I am saying) nani SISIEMU atasimama?

Ujinga wa kukumbatia rushwa na kutajirika bila kufanya kazi kunlegeza mishipa ya fahamu kiasi kwamba unashindwa kuelewa umuhimu wa jeshi na unajifanya umesahau kwamba songombingo ndogo sana jeshini inaweza kuanzisha balaa kwa kila Mtanzania.

Busara yangu mimi niliye itwa mchochezi na ghaidi ni hii.

Kma Serikali ya SISIEMu ipo serious kukusanya madeni kutoka kwa wadeni sugu wote ifanye hivi;

Itoe List ya wadeni sugu, iwape muda, kisha isianze na jeshi ianze na Ikulu, Ofisi za wizara, Nyumbani kwa Mawaziri na Viongozi wote wa serikali baada ya hapo iwafuate wanajeshi.

Sivyo endeleeni kuwatumia wanajeshi kama nguo za ndani, eti kisa mwavuli waUtilivu na Amani utawalinda.

Wanajeshi wameomba tu Raha ya kuwa na maji muda wote hawajaomba kugawiwa sehemu ya mshiko wa Ufisadi, ni maji tu jamani.

Silazima kufuata mawazo haya kwani ni ya kichochezi.
 
There is always a better way to handle it, the price is much higher when misunderstandings between them and us. I agree in principle kwamba sawa, lazima walipe, lakini siyo kwa kukata maji jeshi. It has already been handled and the service is back up and the matter resolved kuliko kwenda na media kuonyesha kuwa wewe na spana yako ndio unanguvu..this isnt hollywood, kama mkuu wao alikua bathroom halafu ana ugeni mzito mnataka ashike watu mikono bila kuosha. Where is the courtesy..
 
Sasa JWTZ wakifanya revolt shauri ya kukatiwa maji tutafanya nini? Sababu za coup wakati mwingine ni vitu vya kijinga kama hivi kukatiwa maji! DAWASA wanacheza na moto!

JW je wako juu ya sheria? Sasa kama hawataki kulipia maji na wamepewa notisi mara 3 je iweje?

Tz is a Professional Army - walipie basi ili yote haya yasitokee tena!

Jee mbona posho na mafuta jeshini hujaskia kuna tatizo?

Watz tujenge utamaduni wa kulipa na tuache kumtafuta mchawi na diplomasia! hapa majuzi US simu za usalama zilikatwa kwa vile pia hawakulipia!

Message ni kuwa lipa.. mapema, iwe Ikulu, Jeshi, UD, Hospitali n.k Better to prioritise paying for utilities than allowances za magari n.k
 
Sasa JWTZ wakifanya revolt shauri ya kukatiwa maji tutafanya nini? Sababu za coup wakati mwingine ni vitu vya kijinga kama hivi kukatiwa maji! DAWASA wanacheza na moto!

Yaani watu wanaogopa kuwadai wanajeshi kwa sababu wanajeshi wanaweza ku revolt? Tukishafika hapa inabidi tujiulize kuhusu uzalendo wa jeshi letu.Hii ni sawa na kuogopa kum discipline mwanao kwa sababu 'ana hasira kweli' in the process creating a monster.

Jeshi linatakiwa kuwatumikia wananchi, siyo kuwahold hostage kwa dhamana wewaliyopewa kuwatumikia.

The rule of law must prevail regardless.Kama hawakupewa notisi ya kutosha hilo noi swala jinginea, lakini kama utaratibu ni notisi tatu na zilitolewa then wanakatiwa vizuri sana.Hata Ikulu wakate tu.Hawa wote wanatakiwa kuwa mfano wa discipline katika mambo yote, siyo a different class of citizens.
 
Kama Mwanakijiji anavyosema kuhusu coup zetu africa zinavyoanza, ni mambo ya kijinga tu yanaweza kuwachokoza hawa.
UDSM wanagoma na kufanya vurugu halafu hao ni the brains of the country, je hawa wenzetu ambao ni wachache tu wenye elimu ya juu itakuwaje.
like i said, not to mock our army but walifanya fujo sana kambi moja baada ya ku 'graduate' wakalewa na wakaanza fujo kati ya wao na wananchi, passers by tulikoswa na mawe kutoka kwa hawa jamaa kwasababu zisizokuwa na msingi.
Diplomacy my friends is a wonderful thing, ni hawa hawa wanaweza kufanya wote sisi tukose maji wakiamua.
 
kama wanataka maji ya bure wachimbe visima vyao...Yani wanajeshi wamekuwa untouchable sio?inanikumbusha wakati Nets Group walivyokata umeme wizara ya mambo ya ndani IGP Mahita akapiga mkwara weeh akaishia kuufyata. kama walitumiwa warnings wakakaidi naona sawa tu kuwakatia na hakuna atakayerevolt.
 
It sounds ndo JW wanalipa maji na sii kodi zetu... wanajeshi wapo to serve Watz na huu utamaduni upo mda mrefu!
 
Tukianza kutoa exceptions hapa leo itakuwa wanajeshi, kesho itakuwa wanafunzi wa chuo kikuu, mawaziri nao watadai, wabunge, usalama wa taifa, wafagizi wa ikulu nao watadai the same, na nyumba ndogo zao, na ving'asti vya nyumba ndogo zao pia, pretty soon nchi nzima itapewa preferrential treatment.

Hatutaki kuweka precedent mbaya.
 
siyo suala la exceptions, suala ni kulikuwa na ulazima wa kuwakatia maji jinsi walivyofanya? Was that the only alternative left kwa DAWASA? Katika uongozi siyo kufuata sheria tu (letter of the law) lakini pia kufuata nia ya ile sheria (spirit of the law).

Kama suala ni kila ambaye hajalipia maji akatiwe, basi si wakate tu tuone, lakini why pick the army of all institutions? Inawezekana walifanya kile kinachowezekana ndani ya sheria lakini nadhani walionesha poor judgement.
 
siyo suala la exceptions, suala ni kulikuwa na ulazima wa kuwakatia maji jinsi walivyofanya? Was that the only alternative left kwa DAWASA? Katika uongozi siyo kufuata sheria tu (letter of the law) lakini pia kufuata nia ya ile sheria (spirit of the law).

Kwani JW ndo wa kwanza kukatiwa maji? Mbona wengine pia walikatiwa maji?

Tukianza kutetea legality ya JW leo.. basi ziko many starategic institutions ambazo hazitapoan na hili!

Kama nilivyosema JW wajenge utamaduni wa kulipia tu hii pesa yetu ya kodi.. they must prioritise payment of utilities na nasema dawa ya deni ni kulipa na sii diplomasia maanake hizi pesa hutengwa ktk budget ---sasa zinaenda wapi???

Dawa ya deni/bill maji ni kulipa ...mimi sioni alternative!

Kuna utamaduni kuwa non-payment ni poa tu ..nthing will happen as JW na Mahospitali ni strategic institutions.. je tupo ktk vita? Nchi ina amani..walipe tu ndo muhimu ya yote!

Mimi siafikiani na diplomasia ktk kulipia maji na umeme!
 
siyo suala la exceptions, suala ni kulikuwa na ulazima wa kuwakatia maji jinsi walivyofanya? Was that the only alternative left kwa DAWASA? Katika uongozi siyo kufuata sheria tu (letter of the law) lakini pia kufuata nia ya ile sheria (spirit of the law).

Kama suala ni kila ambaye hajalipia maji akatiwe, basi si wakate tu tuone, lakini why pick the army of all institutions? Inawezekana walifanya kile kinachowezekana ndani ya sheria lakini nadhani walionesha poor judgement.

wanadaiwa bill ya maji! hawajalipa, wakakatiwa!! sasa tatizo ni nini!!?? kwani wao wanajeshi ni kina nani hasa, mpaka wapate hizo "special tx's"?? oooooh wanalinda TZ, thts boooooo!! kwani wanafanya hiyo kazi bure?? kuna mtu kamlazimisha mtu awe mwanajeshi?? hivi hao mgambo vilaza wanafanya nini hasa cha maana toka ile vita ya kagera iishe?? hivi wao na Madaktari ni wepi hasa wa maana sana?? kama ni Docs, mbona wao hawapati any preferential tx's??
Acheni uzembe hapa, kama walikuwa hawalipii maji, basi hao dawasco sijui dawasa ilikuwa halali yao kuwakatia!!
Mkjj una lako jambo ktk hili, ndio maana unatiwa mashaka sana ndani ya mioyo ya baadhi ya watu.........tatizo lako ni nini hasa?? chepi unachotaka?? huoni hii issue ni simple sana, ipo kwamba, "you don't pay the bills, you don't get the services." SIMPLE, dunia nzima ndio utaratibu ulivyo...........au wewe nia yako ni kuwachochea wanajeshi na serikali yao??? kama hiyo sio nia yako, basi enuff with this nonsense!! kaaazi kweli.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom