libent JF-Expert Member Oct 29, 2011 382 84 Nov 23, 2011 #1 wadau naomba kujua ni matokeo gani au athari zipi zinaweza kutokea pale raisi atakapokataa kutia sahii kwenye mswada wa marekebisho ya katiba mpya
wadau naomba kujua ni matokeo gani au athari zipi zinaweza kutokea pale raisi atakapokataa kutia sahii kwenye mswada wa marekebisho ya katiba mpya
P Panda Kapesi JF-Expert Member Nov 22, 2011 345 220 Nov 23, 2011 #2 Kuvunjwam bunge nafikiri...back to the drawing board!
Losambo JF-Expert Member Nov 8, 2011 2,612 864 Nov 23, 2011 #3 Kurudishwa tena bungeni kwa marekebisho nadhani.