Adui yetu mkubwa ni yule aliyemteua Mkapa kuwa msuluhishi , alilenga kutudhalilisha .
Ni hivi , Tanzania kama nchi haina uwezo wa kusuluhisha migogoro ya kisiasa hata kwenye ngazi ya kata , achilia mbali nje ya nchi , bali kuna watu wawili tu ndani ya nchi hii wenye uwezo wa kuwa wasuluhishi , wote ni wazanzibar , nadhani kwa vile wote ni machotara .
Mmoja anaitwa Amani Karume na Mwingine anaitwa Salim Ahmed Salim , lakini hakuna mzee yeyote katika hawa wachumia tumbo na wanafiki waliojazana huko Tanganyika anayeweza kusuluhisha hata mgogoro wa ndoa , nadhani rangi nyeusi ni laana .
Che Nkapa ni loser. Bugi master..is the man who supposed to be in jail not mpatanishi kuita watanzania malofa na wapumbavu alikuwa tayari kachukua nafasi ya usaidizi ya shetani
Kama kitu hujui usionyeshe kiasi cha ujinga wako! Kujua kutumia smartphone au PC isiwe kero kwa wenzio kwani hata robbot linaweza kupress button!Acheni kukuza mambo, waliomkataa ni hao waliojificha Rwanda waliotaka kupindua serikali, sababu amewaita wehu na hawataruhusiwa kushiriki kwenye meza ya mazungumzo, na ni kweli Nkurunzinza alishinda kwa kura nyingi zaidi.
Juzi juzi hapa walitaka kumuua msemaji wa Nkurunzinza, wakaua bodyguard wake, watu kama hao ndio wawekwe kwenye mazungumzo, wa kazi gani, wabongo mnapenda complain nonsense sana lately, tuacheni siasa kwenye kila kitu
Ulitaka akasuluhishe mtu na shoga yake, au yeye hakujua anakwenda kusuluhisha wauaji.Acheni kukuza mambo, waliomkataa ni hao waliojificha Rwanda waliotaka kupindua serikali, sababu amewaita wehu na hawataruhusiwa kushiriki kwenye meza ya mazungumzo, na ni kweli Nkurunzinza alishinda kwa kura nyingi zaidi.
Juzi juzi hapa walitaka kumuua msemaji wa Nkurunzinza, wakaua bodyguard wake, watu kama hao ndio wawekwe kwenye mazungumzo, wa kazi gani, wabongo mnapenda complain nonsense sana lately, tuacheni siasa kwenye kila kitu
Ok unampelekea mtoto wa jirani yako pipi huku mwanao unamnyima,
Mtoto wa jirani lazima afikili kuwa hiyo ni sumu
Hahahahahahahahahahaha duh!Mkapa awe msuluhishi? kweli?
si bora wangeomba JK aende?
Mkapa anawaita 'wehu' anaotaka kuwasuluhisha?
Hahahahahaha ....Burundi ilifaa aende Kipenzi chetu Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Kayanza Peter Pinda
Na hawa wengine je?
Nakuunga mkono,maana jk anajua kucheza na hakili za wakusika,akigundua kunammoja anatakiwa ubabe anafanyiwa na hata mwenyewe asijue,ila kwa bwana mkapa yeye baadala ya kusuluhisha anaendelea kumuongezea machungu muhusika,kwa manenoyake bm ingekua nchi nyingine vile anaondoka tu,huko nyuma yake kinawaka nchi nzima.Mkapa hana tofauti na Lisu ni watu wenye tamper hawawezi kusuluisha watu kwa sasa only JK ndio anaweza hiyo kazi
Tatizo hakutakiwa hutoa maneno makali,na kuwatukana wahusika.Acheni kukuza mambo, waliomkataa ni hao waliojificha Rwanda waliotaka kupindua serikali, sababu amewaita wehu na hawataruhusiwa kushiriki kwenye meza ya mazungumzo, na ni kweli Nkurunzinza alishinda kwa kura nyingi zaidi.
Juzi juzi hapa walitaka kumuua msemaji wa Nkurunzinza, wakaua bodyguard wake, watu kama hao ndio wawekwe kwenye mazungumzo, wa kazi gani, wabongo mnapenda complain nonsense sana lately, tuacheni siasa kwenye kila kitu
Tatizo nadhani wengi humu ni watoto,hao warundi walishawahi kumkataa Nyerere kuwasuruhisha wakimtuhumu ni mtusiMsuluhisi Alikua Julius Nyerere tu R.I.P