Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,489
- 1,813
Wana jamii,
Salaamu, jamaa yangu alikuwa na kesi mahakama ya Ardhi sasa anasema siku ya kusomwa hukumu alitajiwa tarehe tofauti na wakili. Baadaye alikuja kugundua kuwa hukumu ilishasomwa kama wiki mbili zilizopita. Sasa anaulizia je ni muda gani baada ya hukumu anatakiwa kukata Rufaa na anatakiwa afanye nini hasa. Mimi nimeshindwa kwani sheria not reachable lakini nikaona nitafute ushauri hapa kwenye jukwaa lenye kila aina ya professionals.
Natanguliza shukrani za dhati
Salaamu, jamaa yangu alikuwa na kesi mahakama ya Ardhi sasa anasema siku ya kusomwa hukumu alitajiwa tarehe tofauti na wakili. Baadaye alikuja kugundua kuwa hukumu ilishasomwa kama wiki mbili zilizopita. Sasa anaulizia je ni muda gani baada ya hukumu anatakiwa kukata Rufaa na anatakiwa afanye nini hasa. Mimi nimeshindwa kwani sheria not reachable lakini nikaona nitafute ushauri hapa kwenye jukwaa lenye kila aina ya professionals.
Natanguliza shukrani za dhati