Moja kwa moja, ujumbe unaopatikana ni DHARAU kwa MAHAKAMA ama anataka umaarufu kupitia vyombo vya SHERIA. Hivyo Hakimu hana makosa, mkono wa sheria umechukua MKONDO wake. Watz tuchape kazi tusiingie katika mtego wa CDM na MBOWE ambao wanataka kujipatia UJIKO kupitia MAHAKAMANI na POLISI. Maandamano endelevu wamegundua hayana mvuto badala yake wanataka MISIFA kwa kuifanya MHIMILI mmojawapo wa DOLA uonekane hauna USAFI mbele ya wananchi.
KWA KUWA AMELIKOROGA, INABIDI ALINYWE SI VINGINEVYO!!!!
Ah wapi... own goal- ccm that is!
Ni mufilisi wa strategy ndio anaweza kufanya blunder kama hii ya kwenda kumkamata Mbowe. Sasa hivi the entire nation hata hawakumbuki bunge la bajeti linaanza kesho! macho na masikio yote yameelekezwa Arusha!
Mama Spika naye kaingia mitini. hajasema chochote, but again not surprise there, bibi hajui sheria yule, so, she can hardly figure out what is going on - legally.
Tukutane kesho Arusha - CHADEMA twanga kote kote.