Kukamatwa kwa Mbowe, jaji mkuu Chande anahusika?

Nilisahau Kama pia umetumwa kutuvuruga wafuasi wa Chadema kawaambie waliokutuma kutuchanganya kwa kutupotosha tumewastukia.
 
Hongera wabunge wetu kwa kutoa ushirikiano.. Mbowe alisema cHADEMA kama BARCA Wanapanda wote mbele.. wanarudi wote.. zen wanakomaa katikati akimaanishwa Dodoma bungeni,
 
Kikwete kikwete tumekufanya nini mpaka utuharibie nchi yetu? Ufisadi ulioufanya na kuingiza nchi yetu kwenye mikataba feki bado hujakoma unazidi kutuchafua na kutuharibia taifa letu, Ipo siku tutadili na wewe fisadi usiye na haya

Huna adabu, unaaibisha wazazi wako.
 
Ni jambo la kushangaza kwa wana CDM kulalama na kuitupia lawama CCM kuwa imetia mkono kukamatwa kwa Mwenyekiti wao ambaye ni mbunge Hai, Mheshimiwa Freeman Mbowe. Haingii akilini kwa watu walio makini kutotenganisha mipaka ya kazi kati ya MAHAKAMA, POLISI na CCM. Mbowe ni mjuaji wa ufanyaji kazi na taratibu za vyombo vya sheria na dola vya nchini mwetu, tena amezungukwa na jopo la wanasheria na mawakili wanaoshinda katika viunga vya mahakama kila kukicha HIVYO ni wajuzi wa masuala ya mahakama yanavyoendeshwa.

Ni jukumu la kila mshitakiwa aliye katika dhamana kuweka kumbukumbu ya siku ya kesi, tena mheshimiwa ana kitu cha ziada kwani katika kesi yao wapo washitakiwa wengi ambao haipiti siku pasipo kuwasiliana. Pia katika kesi yao wana wakili ambaye kwa mujibu wa kazi zake ni lazima aweke kumbukumbu ya tarehe za kesi zinazohusu wateja wake. Mshitakiwa kama Mbowe ambaye ni mtunga sheria na anaetetewa na wakili, katika hali ya kawaida, hataeleweka machoni mwa jamii kuwa ameshindwa kutokea MAHAKAMANI zaidi ya mara moja pasipo kutoa sababu za maandishi kwa Mahakama husika kupitia mwakilishi wake ama WAKILI.

Moja kwa moja, ujumbe unaopatikana ni DHARAU kwa MAHAKAMA ama anataka umaarufu kupitia vyombo vya SHERIA. Hivyo Hakimu hana makosa, mkono wa sheria umechukua MKONDO wake. Watz tuchape kazi tusiingie katika mtego wa CDM na MBOWE ambao wanataka kujipatia UJIKO kupitia MAHAKAMANI na POLISI. Maandamano endelevu wamegundua hayana mvuto badala yake wanataka MISIFA kwa kuifanya MHIMILI mmojawapo wa DOLA uonekane hauna USAFI mbele ya wananchi.

KWA KUWA AMELIKOROGA, INABIDI ALINYWE SI VINGINEVYO!!!!
 
Mimi sija bahatisha hizi habari. Ukweli no kwamba no amri wabunge wote wa chadema kwenda arusha.

Kama vile kumsusia kikwete mwaka jana. Mod acha uhuru wa habari. Acha ku edit habari za ukweli na uhakika

Unavyowasilisha mada yako ndiyo inatilia shaka kuwa wewe ungepata nafasi ungewaamuru waliache hilo suala la Mbowe waende bungeni ambako unajua wazi wanatumika kujustify democrasia na kazi za kibunge za kizushi. Kama wameariwa na wewe ni makini kiasi hicho kwa nini usingestaja mtu aliyewaamuru?
 
@Majasho, naona majasho yameshaanza kukutoka! Mbowe hajajikamatisha mwenyewe, polisi ndio wamemkamata! you shall reap what you sow!

Mbona kuna taarifa kwamba alijisalimisha Polisi akiwa na Wakili Mabere Nyaucho Marando kisha jamaa wakamzuia na kumuweka rumande/mbaroni!!!!
 
Mbona umechelewa sana ndugu yangu? ulikuwa wapi?
Nimeona mmezidi kubweka mkimtetea Mbowe kana kwamba kutohudhuria mahakamani pasipo kutoa udhuru ni jambo rahisi kama mnavyofikiria nyie WANA CDM
 
Kwa jinsi hali ya mambo ilivyobadilika ghafla, kuna uwezekano mkubwa sana huyu mheshimiwa akaenda jela miezi 3 kwa kosa la kuidharau mahakama. Pia kwa kesi ya awali ya maandamano bila kibali dhamana yake itafutwa, na maombi ya dhamana kusikilizwa upya. Hii inalenga kuonyesha umma kuwa mahakama sio chombo cha kuchezea, na kwamba nchi yetu inaheshimu utawala wa sheria. CDM wajiandae kisaikolojia kwa kitakachotokea mahakamani Arusha kesho alasiri.
 
Tatizo la Mbowe si ujuaji tu, bali amejizungushia wanasheria uchwara ambao wamempa ushauri mbovu uliomfikisha hapo alipo.

Unategemea nini kutoka kwa watu kama Tundu Lisu? - Alipotoa waraka wa kijinga kuhusu kinga anazodai kuwa Mbowe anazo, alijiona amefanya la maana. Kumbe amechanganya taaluma na siasa uchwara.

Any way, hii ndio Chadema, tutarajie upuuzi zaidi.
 
Post yako imelenga kudhoofisha wabunge wa Chadema.

Bunge linaanza rasmi Jumanne, linaisha mwezi wa Tisa. Pia jumatatu ni siku ya wabunge kufahamisha nini kitajili ktk bunge hilo.

Kamati za bajeti zote zilikaa hapa Dar es salaam ofisi ndogo za Bunge kwa mda wa wiki mbili..So swala la wao kwenda Arusha watakuwa wamejua namna gani wamejipanga.
 
Kila mtu sasa amekuwa hakimu wa kutoa hukumu ya kesi ambayo hata haijasikilizwa! ajabu.
 
Kila mtu sasa amekuwa hakimu wa kutoa hukumu ya kesi ambayo hata haijasikilizwa! ajabu.
CDM muepuke kutumia jazba katika masuala yanahusu mahakama, pale ni pahala pa kutumia busara na heshima. Mmezoea kupambana na Vijana wa Saidi Mwema, MAHAKAMA ni uwanja mwingine. Muwe tayari kesho kwa jambo moja katika ya haya; Jela Miezi 3 na kupoteza sifa za UBUNGE ikifuatiwa na kupungua kwa RUZUKU ama KUFUTIWA DHAMANA. Mlikuwa mnacheza makida makida, CHAMOTO mtakiona, sie watazamaji; NYIE MMEZOA KUGOMEA VIKAO VYA MADIWANI NA BUNGE, sasa mlifananisha na VIKAO VYA MAHAKAMA????
 
Wabunge wote wa chadema wanaanza safari ya kwenda arusha kumtetea mwenyekiti wao badala ya kwenda dodoma kutetea maslahi ya wananchi wao.

Huu mpango wa makusudi wa mh mbowe kujikamatisha makusudi ili kupata headlines throughout the week sio jambo jema kwa maendeleo ya nchi yetu.

Haya wabunge wote wa chadema wanaanza arusha. Bajeti itapita bila mchango wao na maendeleo hamna.
Hapo penye nyekundu nakushukuru kwa kulitambua hilo.
Kumbe mchango wa wabunge CHADEMA unaheshimiwa hata na wavivu wa kufikiri kama wewe.
 
Ni jambo la kushangaza kwa wana CDM kulalama na kuitupia lawama CCM kuwa imetia mkono kukamatwa kwa Mwenyekiti wao ambaye ni mbunge Hai, Mheshimiwa Freeman Mbowe. Haingii akilini kwa watu walio makini kutotenganisha mipaka ya kazi kati ya MAHAKAMA, POLISI na CCM. Mbowe ni mjuaji wa ufanyaji kazi na taratibu za vyombo vya sheria na dola vya nchini mwetu, tena amezungukwa na jopo la wanasheria na mawakili wanaoshinda katika viunga vya mahakama kila kukicha HIVYO ni wajuzi wa masuala ya mahakama yanavyoendeshwa.

Ni jukumu la kila mshitakiwa aliye katika dhamana kuweka kumbukumbu ya siku ya kesi, tena mheshimiwa ana kitu cha ziada kwani katika kesi yao wapo washitakiwa wengi ambao haipiti siku pasipo kuwasiliana. Pia katika kesi yao wana wakili ambaye kwa mujibu wa kazi zake ni lazima aweke kumbukumbu ya tarehe za kesi zinazohusu wateja wake. Mshitakiwa kama Mbowe ambaye ni mtunga sheria na anaetetewa na wakili, katika hali ya kawaida, hataeleweka machoni mwa jamii kuwa ameshindwa kutokea MAHAKAMANI zaidi ya mara moja pasipo kutoa sababu za maandishi kwa Mahakama husika kupitia mwakilishi wake ama WAKILI.

Moja kwa moja, ujumbe unaopatikana ni DHARAU kwa MAHAKAMA ama anataka umaarufu kupitia vyombo vya SHERIA. Hivyo Hakimu hana makosa, mkono wa sheria umechukua MKONDO wake. Watz tuchape kazi tusiingie katika mtego wa CDM na MBOWE ambao wanataka kujipatia UJIKO kupitia MAHAKAMANI na POLISI. Maandamano endelevu wamegundua hayana mvuto badala yake wanataka MISIFA kwa kuifanya MHIMILI mmojawapo wa DOLA uonekane hauna USAFI mbele ya wananchi.

KWA KUWA AMELIKOROGA, INABIDI ALINYWE SI VINGINEVYO!!!!

Hebu soma katiba ya nchi uone inasemaje pindi mbunge mwenye kesi mahakaman anapokabiriwa na majukumu ya bunge.Ukimaliza waeleze na wana ccm wenzako wote!
 
Hebu soma katiba ya nchi uone inasemaje pindi mbunge mwenye kesi mahakaman anapokabiriwa na majukumu ya bunge.Ukimaliza waeleze na wana ccm wenzako wote!
Msingi wa yote ni DHARAU kwa mahakama wala haina uhusiano na vikao vya bunge. Usitoke nje ya reli, MBOWE AMEDHARAU MAHAKAMA KWA KUTOTOA TAARIFA SIKU ZA KESI
 
Nimeona mmezidi kubweka mkimtetea Mbowe kana kwamba kutohudhuria mahakamani pasipo kutoa udhuru ni jambo rahisi kama mnavyofikiria nyie WANA CDM

Na wewe umesikika.
Ila mwenyekiti lazima atoke bila hivyo hicho unachokiogopa kweli kinakuja
 
Back
Top Bottom