mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,794
- 105,907
Nchi hii mwizi,mpigaji,jambazi mtaani ana sifiwa huku mtaani
Ila huku mtaani tunamsifu amejijenga
Ila huku mtaani tunamsifu amejijenga
huyu alikuwa mwl. huko aliingiaje, ? halafu ana undugu wa damu na waziri mmoja
Wenye maadili hatupewi, Wasio na maadili ndo hupewa, Mi binafsi ninaipenda sana kazi hiyo, Nikomeshe wahamiaji haramu, Wauza dawa za kulevya , Na wakwepa kodi, Hawa ninaamini ndo wanaotuharibia taifa. Naitafuta sana hiyo kazi japo Sijui link nitaipata.
Kuna mabadiliko makubwa sana nahisi kuna mtu amehack account ya pdidy. Toka ufanyike uchaguzi amebadilika sana anaandika kama mtu mwelewa kabisa...
Hivi hawa wanao pewa hizi nafasi nyeti ndani ya nchi yetu kweli ni Watanzania ? Mtu unakaa kabisa na passport zisizo na picha akija yeyote anapewa ,Aisee kuna haja ya kuchunguza watu kwenye sekta nyeti za serikali ,wengine mamluki hawa ,
Baada ya vyeti na wafanyakazi hewa ,ianzishwe operation ya kuwachunguza hawa watu
Naona Pdidy kabadilika baada ya kusoma hadithi zako.