Kukamatwa kwa Bernad wa Airport: Wachina na foreigners wote wakaguliwe vibali vyao

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Hilii n janga la siku nyingi sana sana niliwahi kuhisi litatokea sema mhusika nahisi akusoma nyakati na hii serikali

Wajanja walishaacha na wengine kukimbia kabisa ...

Mahakama ya hakim mkazi kisutu imemfikisha kijana bernad obeto kwa kushiriki kutoa vibali feki kadhaa kwa foreigners akiwa pale airporr

Bernard ambae ni afisa usalama anatuhumiwa kutoa kibali kwa Mganda Moses Mugabe wa Mikocheni no WP/0122 kikiwa na saini feki ya Kamishna wa uhamiaji.

Mshtakiwa wa pili ni Mganda Moses ambae amekuwa akifanyakazi hapa nchini miaka minne akitumia kibali feki.

Mshatikiwa mwingine ni Musa Setuba Mganda aliekutwa na kibali daraja C WP/0120 feki chenye saini ya kamishna wa uhamiaji. Musa anakiri kupokea kibali toka kwa Bernad kwa kumuuzia dola 1000+.

Again March 2016
Musa Setuba alipokea kibali kingine daraja B ..Rpb 1055576

Pia Bernard anatuhumiwa kukutwa na mihuri ya visa za miezi mitatu mitatu pia anatuhumiwa kukutwa na passport kadhaa zisizo na picha zinasobiria wateja. Pia amekutwa na mihuri ya vibali vya kazi vya miezi mitatu tatu.

Wote wamekwenda rumande baada ya DPP kuzuia dhamana zao.

Dah naona kuna kadizain cha mtajano kameanza airport. Ushauri tu ni kuwa wakague vibali vyote vya Wachina. Wachina wengi wamekuwa wakitoka nje bila vibali vyovyote wanapelekewa Karikoo ama majumbani mwao vikiwa signed wanachoacha ni pesa na picha za wahusika. Nashauri wakague vibali vyote waje huku Mikocheni ITV Wapakistan, Wapalestina kibao wana vibali feki waanze kukagua zile flats za Mikocheni pale pembeni ya Oilcom foreigners kibao wamejificha wanafanya kazi mle ndani. Wapite maviwandani wakague polisi na TAKUKURU wasiruhusu uhamiaji kuwa peke yao ni mimba.

Wakague na visa zaoo. Visa feki kibao wananchi wa nje wanaingia nazo nahisi mda wa kumbana aseme aliempa hivyo vibali ama hizo saini wana siri nzito.

Afisa wa uhamiaji nae aulizwe imekuwaje huyo atakuwa na connection kubwa na watu wa uhamiaji pia.
 
Hawa ni wale wale wanaodhania ni "business as asual" na matokea yake ndiyo haya. Kiwembe mpaka kieleweke!
newsheriff.jpg
 
Bila elimu ya uzalendo, bila elimu ya maadili tusitegemee vitendo kama hivi kukomeshwa. Hata walioko ngazi za juu ukifuatilia mmojammoja hakuna ambaye hakuwahi kutumia magumashi, ama kwa kujua au kwa kutokujua. Niliwahi kumsikia mtu mkubwa serikalini akiongelea namna ya kuifanya document mpya ionekane ya zamani ... aliyajuaje hayo?
 
Kazi Ianze Haraka
Nashangaa Wachina Tele Hadi Mwanagati Kitunda Kivule Wanaendesha Magari
 
Wenye maadili hatupewi, Wasio na maadili ndo hupewa, Mi binafsi ninaipenda sana kazi hiyo, Nikomeshe wahamiaji haramu, Wauza dawa za kulevya , Na wakwepa kodi, Hawa ninaamini ndo wanaotuharibia taifa. Naitafuta sana hiyo kazi japo Sijui link nitaipata.
 
Hivi hawa wanao pewa hizi nafasi nyeti ndani ya nchi yetu kweli ni Watanzania ? Mtu unakaa kabisa na passport zisizo na picha akija yeyote anapewa ,Aisee kuna haja ya kuchunguza watu kwenye sekta nyeti za serikali ,wengine mamluki hawa ,

Baada ya vyeti na wafanyakazi hewa ,ianzishwe operation ya kuwachunguza hawa watu
 
Hii Id ya Pdidy ina users wengi! huyu wa leo sio mkongoman maana naona anaandika vizuri sana! Nawaza tu!
Alitulia umemsifia kalitia maji soma hapo chini ahahahahahahaa
Dawasco una deni kubwa wanakwambia lips kadhaa letaresit ukiwapa wanakwambia HII bal to a kadhaa jioni unaletewa resit INA 0-0 KUNA tanesco magomen unless wamewaondoaa unajua watanzania wengi wanalipa UMEME pesa kubwa wasioutumia..wahindi wanachofanya wanacheza NA jamaa acc no..wanapunguza madeniyao kwenu unashangaa bili ya units 30 ulikuwa unalipa labda 12000. This tym 30"000 wengi wanaumia sababu awasomi diff ya mt no ya mwisho walitumia NA act wapate kujua diff waulize unit hiz n sh ngapi....Hawa n wale wasiotumia lukh wanalizwa sana

Hahaa hukokwenye Luku napita tu hakusomeki
 
Kazi ipo miaka hii 5! Hapo wameshavurugana watatajana sana kwisha kazi! Kila kitu nje na kiko wazi! Aibu kubwa! Benard pole sana kil yenye mwanzo.....! Mshahara wa dhambi...
 
Back
Top Bottom