Baba wa mtoto atakuwa alikimbia 7bu ya utaratibu wanaotumia ndugu dada, wasipoangalia na huyo atakimbia.... baadaye atakuwa na watoto watano wa baba tofautitofauti............
ukipenda boga.........!!
waswahili wanasema ukipenda boga penda na ua lake....
Acha hii mambo kaka, ni ya KIZAMANI sanaaa, MTOTO HANA KOSA NI MALAIKA, Kama uwezo unao we mlee tu na Mungu Atakubarikia. Hata wa kwako mwenyewe waweza kumlea na AKAKUTELEKEZA VILE VILE. Stop the stereo typing people, mtoto ni malaika na nagekuwa na uwezo ANGEOMBA azaliwe in a different situation, but it was not its choice, kila mtoto ANA RIZIKI YAKE kwa mola, kwa kumlea tu yule malaika Mungu atakufungulia milango kibao sio mpaka ungoje akue.
Agirl can make a mistake, but dnt make the baby pay for it. Yaani i have a sister ameolewa ila anaishi na mtoto alimzaa usichanani, The husband amekubali waishi nae ila ANAMBAGUA sanaaa huyo mtoto, n my sis anaona sawa tu ili kubembeleza NDOA. MF!!!!!!!!! Nakerekaga sanaaa! Iko siku nitamwambia baba wa mtoto aende akachuke Mtoto wake!
usije ukajaribu hata siku moja umeoa mwanamke ambaye alikwisha zalishwa zamani ukamlea na kumgharimikia huyo mtoto ambaye siye wako jua kabisa kwamba hata ukimsomesha na kumgharimikia akikua na kupata maendeleo hata kukumbuka kabisa badala yake ataenda kumtafuta baba yake aliyemkimbia na kumkataa na kama ameshafariki ataenda kuwatafuta ndugu wa baba yake waliomkataa na kuanza kuwaonga na kuwanufaisha kwa kazi uliyoifanya wewe na mateso uliyopata wewe kwa kumsomesha.Hili sio utani nimeliona sio mara moja ni mara nyingi sana usije kujisumbua na mtoto ambaye si wako hata siku moja au utakuja juta milele.
Wewe ujapenda, halafu tenda wema nenda zako usingoje shukraniusije ukajaribu hata siku moja umeoa mwanamke ambaye alikwisha zalishwa zamani ukamlea na kumgharimikia huyo mtoto ambaye siye wako jua kabisa kwamba hata ukimsomesha na kumgharimikia akikua na kupata maendeleo hata kukumbuka kabisa badala yake ataenda kumtafuta baba yake aliyemkimbia na kumkataa na kama ameshafariki ataenda kuwatafuta ndugu wa baba yake waliomkataa na kuanza kuwaonga na kuwanufaisha kwa kazi uliyoifanya wewe na mateso uliyopata wewe kwa kumsomesha.Hili sio utani nimeliona sio mara moja ni mara nyingi sana usije kujisumbua na mtoto ambaye si wako hata siku moja au utakuja juta milele.
Yupo hai! Tena anaishi kifalme huko ulaya na familia yake ingine. Ishu ni kuwa walikuwa wote ila things didnt work out, ila ndo walishapat mtoto, basi mama akashinda custody, alipompata huyu new lovee ndo wakaona wameza ila mtoto wanaishi nae. The dady anajua mtoto yupo na mama yake atakuwa poa, sasa mi ndo nataka nikinukishe.
Then again, tuangalie hali halisi. Tukisema uswahilini tuna kosea kwani hii tabia ipo kwa kila karibia demu hapa bongo. Mwanamke si mpumbavu kama tunavyodhania sie wanaume. Tutambue kuwa, mwanamke anapohamua kushika mimba yako anakuwa amekusoma A mpaka Z na anajuwa fika ni faida gani ataipata kwako akikuzalia kwani wengi wanaamini akikuzalia ndiyo amekushikisha adabu. Hii tabia ni ya wanawake karibia wote. Ila uzuri na faida ya uswahilini ni kuwa na mademu bomba maana 99.9% ya watoto wa vigogo are ugly na ndiyo maana wanatapatapa ili waonekane, nani anabisha hili? Leteni mjadala!
ukipenda boga.........!!