Kukaa Uswahili Kuna Raha Zake..

Hapo vijana ndo muwe makini, as wengine kwetu demu ukizaa nae lazima aolewe nawe as familia itashadadia hadi umuoe.. So tunacheza kwa uangalifu kwenye miba huku tumevaa mabuti..
 
Baba wa mtoto atakuwa alikimbia 7bu ya utaratibu wanaotumia ndugu dada, wasipoangalia na huyo atakimbia.... baadaye atakuwa na watoto watano wa baba tofautitofauti............



Society ya watu wa uswahilini ni sawa na black Americans. Marekani utakuta demu kijana tu ana watoto 3 mpaka 5 baba tofauti tofauti. Na demu akikuhisi una hela za kununua Kentucky Fried chicken basi atahamisha watoto wote kwako kuja kufunga kambi. Yaani kuwa a black American kwa kweli ni parasite na haibu na ndiyo maana nawashangaa sana vijana wa hapa bongo wanaojifananisha na Lil' Wayne.
 
waswahili wanasema ukipenda boga penda na ua lake....



Kwa analog hii, basi mimi nitampenda huyo demu na nywele zake za katikati ya miguu kwani it's my hobby kuzichana kabla ya tendo. Ila hao watoto waende kwa baba zao au ndugu wa baba zao. Ni dhambi kutunza mtoto wa mtu.
 
Then again, tuangalie hali halisi. Tukisema uswahilini tuna kosea kwani hii tabia ipo kwa kila karibia demu hapa bongo. Mwanamke si mpumbavu kama tunavyodhania sie wanaume. Tutambue kuwa, mwanamke anapohamua kushika mimba yako anakuwa amekusoma A mpaka Z na anajuwa fika ni faida gani ataipata kwako akikuzalia kwani wengi wanaamini akikuzalia ndiyo amekushikisha adabu. Hii tabia ni ya wanawake karibia wote. Ila uzuri na faida ya uswahilini ni kuwa na mademu bomba maana 99.9% ya watoto wa vigogo are ugly na ndiyo maana wanatapatapa ili waonekane, nani anabisha hili? Leteni mjadala!
 
Acha hii mambo kaka, ni ya KIZAMANI sanaaa, MTOTO HANA KOSA NI MALAIKA, Kama uwezo unao we mlee tu na Mungu Atakubarikia. Hata wa kwako mwenyewe waweza kumlea na AKAKUTELEKEZA VILE VILE. Stop the stereo typing people, mtoto ni malaika na nagekuwa na uwezo ANGEOMBA azaliwe in a different situation, but it was not its choice, kila mtoto ANA RIZIKI YAKE kwa mola, kwa kumlea tu yule malaika Mungu atakufungulia milango kibao sio mpaka ungoje akue.


Agirl can make a mistake, but dnt make the baby pay for it. Yaani i have a sister ameolewa ila anaishi na mtoto alimzaa usichanani, The husband amekubali waishi nae ila ANAMBAGUA sanaaa huyo mtoto, n my sis anaona sawa tu ili kubembeleza NDOA. MF!!!!!!!!! Nakerekaga sanaaa! Iko siku nitamwambia baba wa mtoto aende akachuke Mtoto wake!

kumbe siku moja moja una unaandika ma pwent? kula like
 
usije ukajaribu hata siku moja umeoa mwanamke ambaye alikwisha zalishwa zamani ukamlea na kumgharimikia huyo mtoto ambaye siye wako jua kabisa kwamba hata ukimsomesha na kumgharimikia akikua na kupata maendeleo hata kukumbuka kabisa badala yake ataenda kumtafuta baba yake aliyemkimbia na kumkataa na kama ameshafariki ataenda kuwatafuta ndugu wa baba yake waliomkataa na kuanza kuwaonga na kuwanufaisha kwa kazi uliyoifanya wewe na mateso uliyopata wewe kwa kumsomesha.Hili sio utani nimeliona sio mara moja ni mara nyingi sana usije kujisumbua na mtoto ambaye si wako hata siku moja au utakuja juta milele.

Tenda wema uende zako
 
kwi kwi kwi, kazi kweli kweli uswahilini kuna mambo tuchukue tahadahari kabla ya mambo kuaharibika
 
usije ukajaribu hata siku moja umeoa mwanamke ambaye alikwisha zalishwa zamani ukamlea na kumgharimikia huyo mtoto ambaye siye wako jua kabisa kwamba hata ukimsomesha na kumgharimikia akikua na kupata maendeleo hata kukumbuka kabisa badala yake ataenda kumtafuta baba yake aliyemkimbia na kumkataa na kama ameshafariki ataenda kuwatafuta ndugu wa baba yake waliomkataa na kuanza kuwaonga na kuwanufaisha kwa kazi uliyoifanya wewe na mateso uliyopata wewe kwa kumsomesha.Hili sio utani nimeliona sio mara moja ni mara nyingi sana usije kujisumbua na mtoto ambaye si wako hata siku moja au utakuja juta milele.
Wewe ujapenda, halafu tenda wema nenda zako usingoje shukrani
 
Yupo hai! Tena anaishi kifalme huko ulaya na familia yake ingine. Ishu ni kuwa walikuwa wote ila things didnt work out, ila ndo walishapat mtoto, basi mama akashinda custody, alipompata huyu new lovee ndo wakaona wameza ila mtoto wanaishi nae. The dady anajua mtoto yupo na mama yake atakuwa poa, sasa mi ndo nataka nikinukishe.

We Lara1 una visa wewe! Mara bosi mnoko, mara rafiki uliyempeleka home anawatega kaka na dingi nyumbani, mara kibinti cha miaka 13 kimeanza ufuska shuleni, mara una mpango wa kunukisha hili soo la mtoto anayebaguliwa duh.
 
Then again, tuangalie hali halisi. Tukisema uswahilini tuna kosea kwani hii tabia ipo kwa kila karibia demu hapa bongo. Mwanamke si mpumbavu kama tunavyodhania sie wanaume. Tutambue kuwa, mwanamke anapohamua kushika mimba yako anakuwa amekusoma A mpaka Z na anajuwa fika ni faida gani ataipata kwako akikuzalia kwani wengi wanaamini akikuzalia ndiyo amekushikisha adabu. Hii tabia ni ya wanawake karibia wote. Ila uzuri na faida ya uswahilini ni kuwa na mademu bomba maana 99.9% ya watoto wa vigogo are ugly na ndiyo maana wanatapatapa ili waonekane, nani anabisha hili? Leteni mjadala!

Source??
 
Back
Top Bottom