clemencemlai
Member
- May 3, 2010
- 24
- 2
nimezunguka maeneo mengi hapa bongo nimekuta kunatabia ya vijana kukaa mahali fulani fulani wakiwa pamoja
bila kujali ni wakati gani wasiku.vijiwe hivi viko hata kwenye viwanja vya mpira,fukweni,pembezoni pembezoni .je kuna faida gani kiuchumi achia mbali kijamii na kiuchumi?
bila kujali ni wakati gani wasiku.vijiwe hivi viko hata kwenye viwanja vya mpira,fukweni,pembezoni pembezoni .je kuna faida gani kiuchumi achia mbali kijamii na kiuchumi?