Cassava
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 282
- 36
Wakuu, heshima mbele, nakili kutolewa kamasi na website ya Helsb, Tafadhali menye kujua jinsi ya kuona majina ya waliopata mkopo anifahamishe, mimi nimeshindwa kabisa kuyaona. MSAADA TAFWADHALI, dogo anataka kunitoa ngeu, kila baada ya dakika 10 ananipigia kujuwa kama kapata mkopo.
Manake yeye yuko bush, si unajua tena.
Manake yeye yuko bush, si unajua tena.