MANAKE MKARI
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 281
- 211
Wakuu nataka ninunue music system kwa ajili ya kuniliwa kidogo. Naombeni ushauri juu ya Watt na ukubwa wa sauti maana naona zinaandikwa 250W, 300W, nk. Ikiwa na 600W itakuwa na mdundo?Maana nataka mziki mnene!