Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Ndio tuone lugha yetu ya kiswahili ilivyongumu.... kujivunia ninakokuongelea mimi ni ile hali ya kufurahia,kuona fahari,kuridhika...( feel proud).
Yep, ndio vilevile nilivyokuwa namaanisha mimi..yaani kujiona uko juu..kuwa proud..kujiona flani ivi..kujiona matawi ..(=kujitapa, kwa sababu huwezi kujitapa kama hujioni au kujidhanii upo std ya juu..) etc..the same same.