Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,669
kuna mantiki katika hili? Naona mmoja kasaini kuwa anashukuru Mungu kuwa mwanamke. mi nadhani ni ajali ya kibaiolojia tu kama ilivyo kwa imani ambayo ni matokeo ya kimazingira tu. umeshawahi kuwaza ungekuwa kinyume na jinsia uliyo nayo?