COMPLICATOR2011
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 253
- 35
Ndugu zangu jana nimesikiliza kipindi cha JUNGU KUU cha TBC taifa, kilichonishangaza ni kusikia eti wananchi wa Igunga 11 wamezimia baada ya kusikia mbunge wao kaachia ngazi, sasa kali zaidi ilikuwa pale watoa maoni wote karibia 99% walikuwa wakimpongeza Mh. huyo kujiuzuru eti kafanya la maana, sasa mimi sijaelewa Rostamu kafanya uzuri gani kiasi cha kupongezwa? ILITAKIWA AENDE MAHAKAMANI KUKANA MASHITAKA YOTE NA SIO KUTUDANGANYA, CCM hapa msijisifu kwa lolote hamna kilichofanyika ni usanii mtupu. MWENYE MASIKIO NA ASIKIE.