Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Naipongeza hatua ya waziri wa mawasiliano na uchukuzi wa Zanzibar Kujiuzulu na kuwajibika kwa yaliyotokea kwa hili ni shujaa kwani kwa serikali yetu kitendo hiki ni nadra kutokea katika utawala wetu chini ya CCM.Madudu katika wizara ya nishati wakati wa Ngeleja ambayo yalikua wazi hakuwajibika mpaka kwa shinikizo la wabunge ambapoilimlazimu Rais JK kuvunja baraza la mawaziri na kulisuka upya! ili kumuondoa kiwavi huyu.Swala la madaktari na mambo mengine chungu mzima.Imefikia kuhoji tatizo liko wapi.Ni makosa kumuadhibu kondakta kwa makosa ya dereva aliesababisha ajali.TATIZO LETU SIO MAWAZIRI(MAKONDAKTA) TATIZO RETU NI RAIS JK KWANI NI YEYE ANAEWATEUA HIVYO ANAPASHWA KUWAJIBIKA,AJIPIME UALALI WAKE KUA KATIKA NAFASI HIYO JK NI JANGA LA TAIFA.MUNGU IBARIKI TANZANI