Kujiuzulu kwa wa cuf.chadema ni 100%?. Mtendaji gani wa chadema amejiuzulu?

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
2,653
264
Chadema imepenya hadi vijijini kwa sasa. Hivi kuna kiongozi wa ngazi yoyote wa Chadema aliewahi kujiuzulu kwa kushindwa kutumikia angalau chama chake tu? Mikoa kama Arusha, Kilimanjaro, Mbeya na mengine wananchi wamewaamini Chadema.lkn matarajio yao yamepungua sasa kwa asilimia kubwa
Kwa mfano, ufisadi wa chama ngazi ya tawi, kata na Wilaya.
Kushindwa kusimamia Matakwa ya wananchi hasa kwa madiwani, Wenyeviti wa halmashauri, waziri vivuli au hata makatibu wa jimbo.
Jee chadema ni asilimia mia?
Hongera Cuf kwa kuonyesha Mfano
 
Hivi kuna kiongozi wa ngazi yoyote wa Chadema aliewahi kujiuzulu kwa kushindwa kutumikia angalau chama chake tu?
Kwa mfano, ufisadi wa chama ngazi ya tawi, kata na Wilaya.
Kushindwa kusimamia Matakwa ya wananchi hasa kwa madiwani, Wenyeviti wa halmashauri, waziri vivuli au hata makatibu wa jimbo.
Jee chadema ni asilimia mia?
Hongera Cuf kwa kuonyesha Mfano
Arusha kumbuka walisimamishwa madiwani watano baada kushirikiana na maghamba kupitisha naibu meya kitendo kilicho onyesha wamepokea rushwa toka kwa maghamba, upo hapo????

 
Arusha kumbuka walisimamishwa madiwani watano baada kushirikiana na maghamba kupitisha naibu meya kitendo kilicho onyesha wamepokea rushwa toka kwa maghamba, upo hapo????


wamekihujumu chama? na sio maendeleo ya taifa. hapa sawa na CUF Na hamad rashid
 
We uliyeleta huu uzi ni mpuuuuuuzi kupindukia kwa nini usihiusishe CCM na kujiuzuru unahiusisha CDM serikali iliyo madarakani ndiyo inapaswa kuulizwa, madudu mangapi yamefanyika na hakuna uwajibikaji kwa kiongozi yeyote. usipende kuleta hoja za kishamba, kimbea, kimajungu, na wakati mwingine we unaweza kuwa mchawi ndo maana fikira zako ndogo kiasi hicho.
 
We uliyeleta huu uzi ni mpuuuuuuzi kupindukia kwa nini usihiusishe CCM na kujiuzuru unahiusisha CDM serikali iliyo madarakani ndiyo inapaswa kuulizwa, madudu mangapi yamefanyika na hakuna uwajibikaji kwa kiongozi yeyote. usipende kuleta hoja za kishamba, kimbea, kimajungu, na wakati mwingine we unaweza kuwa mchawi ndo maana fikira zako ndogo kiasi hicho.
Acha hasira mbona kasema ukweli mtupu. CDM hawawezi kufukuza mtu kwa vile wote ni wanandugu.
Unategemea SLAA amfukuze Josephine?
 
Chadema imepenya hadi vijijini kwa sasa. Hivi kuna kiongozi wa ngazi yoyote wa Chadema aliewahi kujiuzulu kwa kushindwa kutumikia angalau chama chake tu? Mikoa kama Arusha, Kilimanjaro, Mbeya na mengine wananchi wamewaamini Chadema.lkn matarajio yao yamepungua sasa kwa asilimia kubwa
Kwa mfano, ufisadi wa chama ngazi ya tawi, kata na Wilaya.
Kushindwa kusimamia Matakwa ya wananchi hasa kwa madiwani, Wenyeviti wa halmashauri, waziri vivuli au hata makatibu wa jimbo.
Jee chadema ni asilimia mia?
Hongera Cuf kwa kuonyesha Mfano

HUYO WA CUF si alijuwa WAZIRI? MPENI WA CHADEMA UWAZIRI MUONE KAZI MAFISADI WOTE JELA na HAKUNA

HIZO MELI KURUHUSIWA KURANDARANDA
 
We uliyeleta huu uzi ni mpuuuuuuzi kupindukia kwa nini usihiusishe CCM na kujiuzuru unahiusisha CDM serikali iliyo madarakani ndiyo inapaswa kuulizwa, madudu mangapi yamefanyika na hakuna uwajibikaji kwa kiongozi yeyote. usipende kuleta hoja za kishamba, kimbea, kimajungu, na wakati mwingine we unaweza kuwa mchawi ndo maana fikira zako ndogo kiasi hicho.

Mkuu mafanikio ya MWANAMKE nyuma yake kuna MWANAMUME,kwani mkeo awezi kufanya jambo kwa niaba yako?kumbuka cuf na ccm niwana ndoa!!!!!!!!!!!!!!!
 
Acha hasira mbona kasema ukweli mtupu. CDM hawawezi kufukuza mtu kwa vile wote ni wanandugu.
Unategemea SLAA amfukuze Josephine?
sasa chadema wajiuzulu wameharibu nini?yeye alikuwa na mamlaka matatizo yametokea sharti ajiuzulu.hata hivyo hongera kwake.
 
Chadema imepenya hadi vijijini kwa sasa. Hivi kuna kiongozi wa ngazi yoyote wa Chadema aliewahi kujiuzulu kwa kushindwa kutumikia angalau chama chake tu? Mikoa kama Arusha, Kilimanjaro, Mbeya na mengine wananchi wamewaamini Chadema.lkn matarajio yao yamepungua sasa kwa asilimia kubwa
Kwa mfano, ufisadi wa chama ngazi ya tawi, kata na Wilaya.
Kushindwa kusimamia Matakwa ya wananchi hasa kwa madiwani, Wenyeviti wa halmashauri, waziri vivuli au hata makatibu wa jimbo.
Jee chadema ni asilimia mia?
Hongera Cuf kwa kuonyesha Mfano

Chekecha kichwa utoe hoja yenye mashiko na jitahidi kuzama katika ufikirivu zaidi hapa sio facebook
 
Cuf wamejiuzuru kutoka kwenye serekali ya ccm.cdm wajiuzuru kutoka kwenye serekali ya nani?.mambo ya kujiuzuru ndani ya chama ni siri ya chama siyo lazima ya tangazwe na silazima kila mtu ajuwe yataendelea kuwa siri ya chama tu.
 
mleta mada akiki yake ina matundu ambayo hayawezi kuzibika na mwenye hyo akili kwa hiyo kwa msaada tu ni kwamba cuf au ccm b wamo kwenyeselikali kwa hiyo wanahusika kwa namna moja au nyingi katika kujiuzulu kwao naza ingekuwa ni cdm ajari ya kwanza tu watu wangeachia ngazi bla kushinikizwa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom