Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,707
From my understanding,ni kwamba kujiuza ni kutoa mwiliwako ili upewe pesa,ni tofauti na yule alie kwenye mahusiano ambae yeye ni sawa anapewa hela lakini sio kwa sababu ya mwili wake,unaweza kupewa hela na yoyote ila ile hela unapewa kwaajili ya nini ndo suala la msingi!