Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Utoto, ulimbukeni, ushamba, lack of confidence and all that shit. Kimsingi it is nonsense!hivi kunaulazima kama umetengana na boyfriend/girlfriend wako kwenda kuanika kwa FACEBOOK!!!
inaulazima kiasi gani, afu mara nyingi yule anayekuwa na makosa ndo wakwanza kujishuku kwa FB
teh teh