siwezi kumdhalilisha mke wangu na house girl,maana ukitembea na house girl ni kumdhalilisha mkeo,Inawezekana usitoke nje ya ndoa 9usilale nje) lkn ukawa unamalizia kwa house gelo hapo hme.
ya kweli hayo,ninachojua ukiamua kutoka ni wewe mwenyewe umeamua ukiamua huendi ni wewe mwenyewe,Watu kama wewe Mike wakitoka nje wanatoka jumla. Pia wakifumania wanaua. How I hate 'perfect' men!
Umenikumbusha siku ya Easter kuna watu walikuwa wanafanya anniversary ya miaka 35 kwenye ndoa nikasema duh, Mungu nisaidie tufike hukoMwombe Mungu akutie nguvu kwani kipindi ulichoingia ndio kibaya sana wanasema wachunguzi wa mambo ya ndoa. miaka 10-20 huwa ina misukosuko sana. unaweza wewe ukawa na msimamo mwenzako akakuangusha pia. Omba bila kuchoka hakuna kinachoshindikana katika dunia hii