Napenda kuchukua fursa hii kujisifu,kwa sababu huu ni mwaka wa 11 ndani ya ndoa bila kutoka nje ya ndoa yaani kuwa na mahusiyano na mwanamke mwingine nje ya ndoa yangu,je ni wanaume wangapi wameliweza hilo? marafiki zangu wengi wameshindwa,je wewe!jichunguze chukua hatua,naomba mnisifu kwa hili