Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii tabia inatokana na wanaume wenyewe tumezidi kupenda wasichana weupe. Kwa hiyo nao wanajibadili ili kuwavutia zaidi wanaume.
Lakini si mnaona jinsi jamaa anavyomfurahia na kumwangalia bibie kwa macho ya mahaba????????.
Ukiangalia mikono na uso utajua kuwa huyu bibie anataka kuwa mwarabu zaidi kuliko mwafrika!Jamani kwa nini mabibie wetu wasiwe proud na rangi zao,kuliko kujichubua na kuwa na light skin?
kipenda roho ula nyama mbichi...Lakini si mnaona jinsi jamaa anavyomfurahia na kumwangalia bibie kwa macho ya mahaba????????.
nahisi anamshangaa kwani anaonekana tofauti na alivyomzoeaLakini si mnaona jinsi jamaa anavyomfurahia na kumwangalia bibie kwa macho ya mahaba????????.