Pepe Rainer
Member
- Jan 27, 2010
- 23
- 0
Tarehe 22-27 Machi, 2010 ni tarehe za kujiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa wakazi wote wa Dar es salaam, wote ambao umri unazidi miaka 18 twende tukajiandikishe.
Kitambulisho kikiwa kimehalibika maandishi kutoonekana vizuri,nenda ukajiandikishe upate kitambulisho kipya.
Kama ulijiandikisha na jina lako halikutokea katika orodha ya wapiga kura na hukuweza kupiga kura,nenda kajiandikishe upya jina lako liingie katika orodha ya wapiga kura.
Mwaka 2010 sio mwaka wa kukosea,kajiandikishe upate kitambulisho cha kukuwezesha kupiga kura,kutimiza haki yako ya kimsingi.Kura yako kwa maendeleo yako,kajiandikishe
Kitambulisho kikiwa kimehalibika maandishi kutoonekana vizuri,nenda ukajiandikishe upate kitambulisho kipya.
Kama ulijiandikisha na jina lako halikutokea katika orodha ya wapiga kura na hukuweza kupiga kura,nenda kajiandikishe upya jina lako liingie katika orodha ya wapiga kura.
Mwaka 2010 sio mwaka wa kukosea,kajiandikishe upate kitambulisho cha kukuwezesha kupiga kura,kutimiza haki yako ya kimsingi.Kura yako kwa maendeleo yako,kajiandikishe
TANZANIA BILA MAFISADI INAWEZEKANA, KAJIANDIKISHE!