ni nini kinatakiwa kiafya kwa mwanamke anayejiandaa kubeba ujauzito ili kuepuka matatizo kipindi cha ujauzito?
kitanda cha mninga na godoro la dodoma
Mimi ningeshauri kwanza utayari wa wote wawili as it takes two to tango hasa kisaikolojia maana yaliyosemwa na wote ukiwa na mwenza maisha yanakuwa mswano.Kijuujuu....Ujauzito ni kipindi ambacho mwili wa mwanamke unakuwa challenged to the fullest, hivyo ni kipindi kinachohitaji maandalizi. Unahitaji maandali yafuatayo (wengine wataongezea kwenye hiyo list):
- Utayari wa kisaikolojia wa kubeba ujauzito, kuzaa na kuwa mama
- Utayari wa kimwili (kuna uzito ambao unashauriwa kuongezeka na kwa kasi gani)
- Utayari wa kilishe (kuna vyakula ambavyo unashauriwa kula)
- Utayari wa kifedha (oooh yeah unahitaji pesa ya kutosha)
- .......