mhindi1978
Member
- Jan 14, 2012
- 11
- 3
Kwa maoni yangu,kuna haja ya kuanzishwa somo toka elimu ya awali ambalo litajenga tabia ya kujiudhuru(kuresign)pale panpokua na utendaji mbovu,ukiukwaji wa misingi,sheria na kanuni za kazi,kuboronga bila kusubiri umma ukushurutishe kufanya hivyo.but also masomo yatakayo jenga commitment kwa watendaji tofuti na hv sasa ambapo kila mtendaji anafanya anavyotaka na hakuna wa kuchukua hatua coz mfumo wote umeoza kila mtu mbadhilifu,mwizi,fisadi,