ponda mali kufa kwaja! husipokufa?
vijana wengi wa kibongo wanatanua sana,wanakunywa bia na kukuza vitambi tu,huku wakisahau kuwa wnajenga ghorofa tumboni basdala ya kununua viwanja na kujenga,mtajiju baadaye masharobaro nyie!
vijana wengi wa kibongo wanatanua sana,wanakunywa bia na kukuza vitambi tu,huku wakisahau kuwa wnajenga ghorofa tumboni basdala ya kununua viwanja na kujenga,mtajiju baadaye masharobaro nyie!
acha ushamba wewe!!!hayo wafunze watoto wako!!!unataka kila mtu akijenga viwanja viishe?!!!badala ya kusisitiza matajiri wajenge apartments!!!!