funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Juzi nilikuwa nakatiza mitaani nikakuta kijana mmoja amefungwa na kamba miguu na mikono kama mwizi halafu amelazwa juani, nikauliza kulikoni nikaambiwa alimjambisha mzee mmoja ambaye alikuwepo pale kuhakikisha kuwa jamaa hafunguliwi kamba.
Yule mzee alikuwa analalamika kuwa wanamkera sana na kumuumiza wanapomjambisha sasa leo anatoa somo kwa wote
Mimi nikabaki najiuliza anapata maumivu gani anapojambishwa?:confused2: hebu wadau tulijadiri hili suala labda lina matatizo kitaalamu kwa baadhi ya watu
Yule mzee alikuwa analalamika kuwa wanamkera sana na kumuumiza wanapomjambisha sasa leo anatoa somo kwa wote
Mimi nikabaki najiuliza anapata maumivu gani anapojambishwa?:confused2: hebu wadau tulijadiri hili suala labda lina matatizo kitaalamu kwa baadhi ya watu