Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kumbe siku ile kale kaharufu ulikuwa wewe unaachia kaushuzi? Afadhali sasa nimejua, ntakuwa nakaa mbali na wewe! LOLZ! BTW hujambo mshiki? Nimekumisi kweli!Hakuna kitu chenye raha hapa duniani kama kuachia kaushuzi kidogo ni raha ya ajabu asikuambie mtu